Humu kila mtu ni mbanga,km sio Basi anamkubwa anaemfaham ni ronja juu ya roja😄 Mimi Sina la kusema zaidi ya kusubiri PDF ya pt na uchambuzi wa watu wazito humu ndaniUzi WA Moto
Nadhani ndio maana nimesikia wameomba kibali cha kuongeza vijana...itakuwa wanataka safari hii wote waanze pa1
Bora hata huyo... Anajua kabisa hana uhakika!!Cha kwanza! Ndiyo najua umekurupuka sasa Ili tuendelee nna ka swali kadogo maana unaweza kuwa unaongea tu hapa kwa kusikia stori tu na nnauliza hivi sababu kwa mwaka huo OP SAMIA wanafanyiwa usaili nilikuwa kanda hyo na nilishuhudia mpaka madogo wanafanyiwa usahili, Je huyo mdogo wako alikuwa kikosi gani?
Halafu kingine hivi inakuaje kwa ulimwengu huu wa wasomi waanze kuwabembeleza hiyo big NO!
Ipo hivi walifanyiwa usahili na waliobahatika ni wachache sana na wakawaambia tutawapigia simu ila sio kama unavyosema wewe hapo ko hakuna aliye baki wala nini, muda ulivyofika wa kuondoka waliondoka wote
Askali Walimaliza vijana 4356 na hapo Askali waliofukuzwa kwa kufeli walikuwa 182 net. 📌🔨
I wonder Where Your manners Be? Kunitaja sio ujasiri hiyo ni suicide bruhBora hata huyo... Anajua kabisa hana uhakika!!
Kuna mmoja huko anajiita zee la kazi, hakuna anachojua na kwa wanaomsahihisha anawaona low IQ.
Mbaya zaidi anajiita 92.[emoji16][emoji16][emoji16]
Au sio..!I wonder Where Your manners Be? Kunitaja sio ujasiri hiyo ni suicide bruh
Hakuna sehemu nimesema hawachukui...!!Hebu ficha ujinga wako mzee, ni jeshi gani hilo ambalo halichukui mujibu wa sheria, nina uhakika na ninachokiandika acheni kulazimisha vitu ambavyo havipo
Nimerejea tena kusoma na wote mpo sahihi...!!Sasa kwa muktadha huo ni huyo jamaa ndiye ambaye hajui na si mimi, maana yeye anasema mujibu wa sheria hawahitajiki kabisa jeshini na wakimaliza course wote wanaondoka wakati uhalisia hauko hivyo, mtu kama huyu naye ukimkosoa na kumuambia ukweli anakuita mjuaji sasa sijui kati ya mimi na yeye nani mjuaji hapo
Ulimbukeni unawasumbua tuu... Hawana lolote!! Askari aliyeiva kweli huwezi kukuta anasumbua watu!Twende mbele turudi nyuma...watu wa kujitolea wanajikutaga askari sana...kumbe hamna kitu... kuna mmoja nmpenda nae bus jana kaanza ksumbua watu anasema yeye ni askari...kumuuliza kumbe ni service Man.
Wanajikutaga Navy SEAlTwende mbele turudi nyuma...watu wa kujitolea wanajikutaga askari sana...kumbe hamna kitu... kuna mmoja nmpenda nae bus jana kaanza ksumbua watu anasema yeye ni askari...kumuuliza kumbe ni service Man.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]FITA NI KARI MUNO MURAAAVITA baridi Ya Mujibu na kujitolea sasa inaanza....[emoji23][emoji23][emoji16]
Wanajiona wao ni MARINEWanajikutaga Navy SEAl
Hawaelewi maana ya jwtz-jeshi la wananchi wa Tanzania... Yaan unakuwa Kwa ajili ya wananchi then hao hao unawapa mikwala... Ni ujinga tu...Twende mbele turudi nyuma...watu wa kujitolea wanajikutaga askari sana...kumbe hamna kitu... kuna mmoja nmpenda nae bus jana kaanza ksumbua watu anasema yeye ni askari...kumuuliza kumbe ni service Man.
Sababu za kufeli zinaweza kuwa zipi chief? Au ndo hizo za kuwa unfit Labda na utovu WA nidhamu....Askali Walimaliza vijana 4356 na hapo Askali waliofukuzwa kwa kufeli walikuwa 182 net. [emoji419][emoji375]
[emoji23][emoji23][emoji23] hii vita mujibu lazima washinde.!![emoji23][emoji23]VITA baridi Ya Mujibu na kujitolea sasa inaanza....[emoji23][emoji23][emoji16]
Wanetu wa kujitoleaa wanajionaga washakua masoja tayari dah[emoji16][emoji23][emoji23][emoji23] hii vita mujibu lazima washinde.!![emoji23][emoji23]
Muwasamehe bure tuu... Shida wanazopata huko lazima wadate!!Wanetu wa kujitoleaa wanajionaga washakua masoja tayari dah[emoji16]
No hard feeling[emoji869]
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23]Muwasamehe bure tuu... Shida wanazopata huko lazima wadate!!
Mashamba ya kwenda.(mpunga chita, Embakasi-mlale, Milundikwa mahindi... Bado ujenzi wa kufa mtu)
Ulinzi na ukakamavu siku zote za miaka yao!! Lazima wajisahau mkuu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]