Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Maturity Advice
 
Hapo unaposema ww na vilaza wenzio
 
Ndomana Awali nilikwambiaje ndugu humu kn watu watakuw wana type huku wameshika chupa za jamaa mwnye mikono miwil juu katunisha misuli..huwez ukakosolewa afu useme una andamwa yan umeanzish ugomv afu umepigwa unaanz kuita msaada
 
basi tuseme hivi hawa wenzako waliopita mujibu wakaenda chuo na saiv wanalitaka Tena jeshi Ni vilaza pia
 
Ndomana Awali nilikwambiaje ndugu humu kn watu watakuw wana type huku wameshika chupa za jamaa mwnye mikono miwil juu katunisha misuli..huwez ukakosolewa afu useme una andamwa yan umeanzish ugomv afu umepigwa unaanz kuita msaada
siwez nikashindwa batlle na watu nliowazid kila kitu mm mwnyw vawulence naziweza nlichokua namwambia huyo dg Hapa tunabisha wengi kwann ananipoint mm aache kua na double standards ka Ni ushauri angetoa kwa wote
 
Wakuu nina swali kidogo...maana nasikia sikia tu hayajaiva haya....hv askari aliyeiva anatakiwa kuwaje, au anatakiwa kuwa na vigezo gani kuonyesha kuwa huyu kweli kaiva askari....
 
Wakuu nina swali kidogo...maana nasikia sikia tu hayajaiva haya....hv askari aliyeiva anatakiwa kuwaje, au anatakiwa kuwa na vigezo gani kuonyesha kuwa huyu kweli kaiva askari....
Habishani kama wanavyobishana humu ndani yeye anatoa tu Muongozo mtizame Bro Afande Dystonia7
 
Kajeshi 'kakuchukua nyota'[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]

Watu wanachukua 'nyota' tuu..!!!
 
siwez nikashindwa batlle na watu nliowazid kila kitu mm mwnyw vawulence naziweza nlichokua namwambia huyo dg Hapa tunabisha wengi kwann ananipoint mm aache kua na double standards ka Ni ushauri angetoa kwa wote
Basi ndugu nisame mimi ila mim nimekuomba ujifanye mjinga ili hii mada ife mana naona mshaanza kufika mbali

Pia umundani tupo wengi ambao wanatamani sana izi nafasi za kijeshi

Mkianza kuvimbiana na kuanza kuoneshana kua nyie mna connection za kupata izo nafasi mnakosea mana mnakua mnafanya watu wengine wajione hawana bahati na izi kazi

chamsingi narudia tenna ebu tupeana taharifa za mafanikio na sio majibishano ambayo hayana faida wee kaa kimya utaona kama kuna mtu atakuja kuongea tenna izo mada
 
basi mm nimeacha kubishana tujadili Mambo mengine uungwana Ni vitendo
 
basi tuseme hivi hawa wenzako waliopita mujibu wakaenda chuo na saiv wanalitaka Tena jeshi Ni vilaza pia

Yan me nachoona we jamaa unaumia kusikia mujibu wanajua mambo zaidi yako au wanakazi nzuri au cheo zaidi yako
Acha wivu Mzee huyo huyo unayemuona mujibu ipo siku utampigia saluti
Case closed [emoji41]
 
Mnabishana hadi mnashushiana heshima.. Mimi naamini hakuna anayejua vyote hata kama yupo ndani ya chombo! Muhimu ni kuwa willing ku share na kuchamvua taarifa tunazopeana kiroho safi ili kupata zile ambazo zipo accurate.

Hayo mambo ya kutaka kujionesha mtu unajua kila kitu, wakati source yako ya taarifa ni moja ndio inatengeneza mabishano yasiyo ya msingi.

Mwisho kabisa wakujitolea waombe ili wakawe maaskari kama wengi wanavyoamini na hao mujibu pia waombe ili 'wakachukue hizo nyota' na kuwa maofisa kama wanavyoamini.

Either way mtu akipoteza ni siri yake.


Tuendelee na lengo la uzi la kupashana habari na sio mabishano ya kushushiana heshima.
 
Wakuu nina swali kidogo...maana nasikia sikia tu hayajaiva haya....hv askari aliyeiva anatakiwa kuwaje, au anatakiwa kuwa na vigezo gani kuonyesha kuwa huyu kweli kaiva askari....
Ukomavu katika nyanja zote....

Avuke viunzi anavyokutana navyo kimwili, kiakili na kisaikolojia.
 
Et kawazid kila kitu😁😁😁 anatak ahamie kwenye kuonyeshana Assets na Account number huyu..hili jamvi sasa hiv litajaa picha za nyumba na magari😎
 
Yan me nachoona we jamaa unaumia kusikia mujibu wanajua mambo zaidi yako au wanakazi nzuri au cheo zaidi yako
Acha wivu Mzee huyo huyo unayemuona mujibu ipo siku utampigia saluti
Case closed [emoji41]
Nealed it Ndugu
 
Jamani Jeshini kila mkubwa na mkubwa wake hivyo swala la connection haliepukiki..kwa kusema hvyo haimaanishi wasio na conection wasi request hapana,,walltume maombi coz maana yang ni kwamba jeshi sio kwa ajil ya waliojitolea wala kwajil ya mujibu, all of them demands..na sio nafas zote znauzw kw connection zingine zinapewa watu Qualified..Closed📌
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…