Zee la Kazi
JF-Expert Member
- Mar 5, 2023
- 334
- 624
Maturity AdviceAmna wee jieshimu pia nenda na mada ambayo kila mtu ataichangia kwa faida sio kwa mabashano ambayo hayana faida yoyote pia kingine
Kama kweli wew upo kwenye kitengo basi inabidi ufate kanuni zako za kazi ivi
Unahisi umu ndani upo mwenyewe private au
Wapi wengi sana umu ndani ila wanajua nini maana ya kazi yao saa wew unabishana vitu ambavyo havina faida yoyote
Mii nakuomba wee kausha tuuh kama yeye anaona yupo sawa basi muache abaki na ukweli wake na wew ubaki na ukweli wako
Hapo unaposema ww na vilaza wenzioMkuu kwani wewe ni mgeni jf humu watu wanakujibu kulingana na ulivyokuja, aliyeleta dharau nani wewe si ndio umesema huko msata ambako mimi napaota wewe umeshapita kitambo mimi nikakuambia wala sina mpango wa kuwa mwanajeshi ningekuwa nao basi ningeshakuwa miaka mingi, sasa mbona unasema mimi ndio nina dharau tena
Ndomana Awali nilikwambiaje ndugu humu kn watu watakuw wana type huku wameshika chupa za jamaa mwnye mikono miwil juu katunisha misuli..huwez ukakosolewa afu useme una andamwa yan umeanzish ugomv afu umepigwa unaanz kuita msaadaMkuu kwani wewe ni mgeni jf humu watu wanakujibu kulingana na ulivyokuja, aliyeleta dharau nani wewe si ndio umesema huko msata ambako mimi napaota wewe umeshapita kitambo mimi nikakuambia wala sina mpango wa kuwa mwanajeshi ningekuwa nao basi ningeshakuwa miaka mingi, sasa mbona unasema mimi ndio nina dharau tena
basi tuseme hivi hawa wenzako waliopita mujibu wakaenda chuo na saiv wanalitaka Tena jeshi Ni vilaza piaMimi ningekuwa nina mpango wa kuwa mwanajeshi ningeshakuwa kitambo tena sasa hivi ningekuwa captain, maana chance nilikuwa nayo tangu naingia jkt kwa mujibu wa sheria ila sikuhitaji, wewe na vilaza wenzio ndio mlikuwa mnaiota kihangaiko
Ndio maana umesota kote huko mara mujibu mara chuo mara urudi tena kujitolea sababu hukuwa na connection
Wale wenzio wenye connection wala hawasoti miaka yote hiyo
siwez nikashindwa batlle na watu nliowazid kila kitu mm mwnyw vawulence naziweza nlichokua namwambia huyo dg Hapa tunabisha wengi kwann ananipoint mm aache kua na double standards ka Ni ushauri angetoa kwa woteNdomana Awali nilikwambiaje ndugu humu kn watu watakuw wana type huku wameshika chupa za jamaa mwnye mikono miwil juu katunisha misuli..huwez ukakosolewa afu useme una andamwa yan umeanzish ugomv afu umepigwa unaanz kuita msaada
Habishani kama wanavyobishana humu ndani yeye anatoa tu Muongozo mtizame Bro Afande Dystonia7Wakuu nina swali kidogo...maana nasikia sikia tu hayajaiva haya....hv askari aliyeiva anatakiwa kuwaje, au anatakiwa kuwa na vigezo gani kuonyesha kuwa huyu kweli kaiva askari....
Basi ndugu nisame mimi ila mim nimekuomba ujifanye mjinga ili hii mada ife mana naona mshaanza kufika mbalisiwez nikashindwa batlle na watu nliowazid kila kitu mm mwnyw vawulence naziweza nlichokua namwambia huyo dg Hapa tunabisha wengi kwann ananipoint mm aache kua na double standards ka Ni ushauri angetoa kwa wote
Utasema waliziweka hahahahaKajeshi 'kakuchukua nyota'[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Watu wanachukua 'nyota' tuu..!!!
basi mm nimeacha kubishana tujadili Mambo mengine uungwana Ni vitendoBasi ndugu nisame mimi ila mim nimekuomba ujifanye mjinga ili hii mada ife mana naona mshaanza kufika mbali
Pia umundani tupo wengi ambao wanatamani sana izi nafasi za kijeshi
Mkianza kuvimbiana na kuanza kuoneshana kua nyie mna connection za kupata izo nafasi mnakosea mana mnakua mnafanya watu wengine wajione hawana bahati na izi kazi
chamsingi narudia tenna ebu tupeana taharifa za mafanikio na sio majibishano ambayo hayana faida wee kaa kimya utaona kama kuna mtu atakuja kuongea tenna izo mada
YEah that’s gud brobasi mm nimeacha kubishana tujadili Mambo mengine uungwana Ni vitendo
basi tuseme hivi hawa wenzako waliopita mujibu wakaenda chuo na saiv wanalitaka Tena jeshi Ni vilaza pia
Chabrosy Dystonia7Wakuu nina swali kidogo...maana nasikia sikia tu hayajaiva haya....hv askari aliyeiva anatakiwa kuwaje, au anatakiwa kuwa na vigezo gani kuonyesha kuwa huyu kweli kaiva askari....
Ukomavu katika nyanja zote....Wakuu nina swali kidogo...maana nasikia sikia tu hayajaiva haya....hv askari aliyeiva anatakiwa kuwaje, au anatakiwa kuwa na vigezo gani kuonyesha kuwa huyu kweli kaiva askari....
Et kawazid kila kitu😁😁😁 anatak ahamie kwenye kuonyeshana Assets na Account number huyu..hili jamvi sasa hiv litajaa picha za nyumba na magari😎Nani umemzidi kila kitu wewe unawajua watu wote humu, dogo mishahara na posho ya private yote tunaijua usitake kujimwambafy hapa ninyi ndio mnafanya wanajeshi wote wanatukanwa hata wale ambao wanajielewa, yani hapo ni private tu unasumbua hivyo ukija kuwa luteni usu wewe raia na askari wote wataokuwa chini yako si watakukoma
Nealed it NduguYan me nachoona we jamaa unaumia kusikia mujibu wanajua mambo zaidi yako au wanakazi nzuri au cheo zaidi yako
Acha wivu Mzee huyo huyo unayemuona mujibu ipo siku utampigia saluti
Case closed [emoji41]