Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

A
yaan jeshini shuguli moja haiwez kuharib shughur nyingine,ungekua umekaa angalau miaka mi3 kule ungenielewa,
Angalau ww umesadia vizuri kutoa jibu na obviously jeshi ni taasisi kubwa mno shughuli moja haiwezi kukwamisha shughuli pamoja na maadhimisho hayo ambayo kimsingi sehemu kubwa yanaandaliwa na kamandi husika JKT leo Kuna shughuli kibao zinaendelea kwenye chombo tofauti na hayo maadhimisho.
 
A

Angalau ww umesadia vizuri kutoa jibu na obviously jeshi ni taasisi kubwa mno shughuli moja haiwezi kukwamisha shughuli pamoja na maadhimisho hayo ambayo kimsingi sehemu kubwa yanaandaliwa na kamandi husika JKT leo Kuna shughuli kibao zinaendelea kwenye chombo tofauti na hayo maadhimisho.
Kwahyo kwa mantiki hiyo sisi tuliotangawaziwa nafasi kutokea huku mtaani ndio tumepigwa ndoige au?
 
Ngoja tusikilizie tuone MT kama watabless watu wenye degree. Japo hata mm nikifikiria Sion Umuhim wa Degree Kwa MT
Kwa fikra zangu nadhani mchakato wa usaili utakua wa muda mfupi sana. Ili kuwai vijana waliotangulia Kiwira
 
Back
Top Bottom