Sasa ofisa si lazima awe na elimu ya juu mzee!!! Kwa maana hiyo hao wenye degree wanaenda kuamdaliwa kuwa maofsa wa MT!! Sasa huoni umuhimu wa degree kwaninj mkuu??Ngoja tusikilizie tuone MT kama watabless watu wenye degree. Japo hata mm nikifikiria Sion Umuhim wa Degree Kwa MT
Sent using Jamii Forums mobile app