hjakalljcjxnxlhzkzmxjkxnx
Senior Member
- Jan 17, 2020
- 121
- 265
Sina natamani ningekuwa nayo broSamahn kwa hilo . Itakuwa braza una degree nini[emoji16]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sina natamani ningekuwa nayo broSamahn kwa hilo . Itakuwa braza una degree nini[emoji16]
Ok. Braza unachosema ni kweliAchana na username itakupotezea muda baki kwenye hoja.
Tangazo la magereza walisema wanataka MD unataka kusema walikosea au
Haijalishi idadi ni ngapi cha msingi wao wanataka MD sasa wewe unasema haina umuhimu wakati wao wahusika wamesema wanataka MD
Sahihi 100%Wenye elimu za juu tutalalamika sana lakn ki uhalisia majeshii uhitaji na mchache sana tena kwa mahitaji maaalum ndo maana ata wanatoboa mikataba % kubwa ya watu ambao wamekosa fursa na wapo mtaan ni graduate. Tukubali zama zimebadilika ndan vyomba vya ulinz na usalama uhitaji wenye elimu za juu ni wa maelkezo
MD wanahitajika ni kweli na sipingi...ila sio katika wingi ambao watu wanautegemea ndo maana nikakupa mfano ajira za wizara ya afya walikuwa wanataka MD 15. Hiyo ni wizara ya afya. Imagine magereza.Achana na username itakupotezea muda baki kwenye hoja.
Tangazo la magereza walisema wanataka MD unataka kusema walikosea au
Haijalishi idadi ni ngapi cha msingi wao wanataka MD sasa wewe unasema haina umuhimu wakati wao wahusika wamesema wanataka MD
[emoji1666]Ok. Braza unachosema ni kweli
Na wanaonufaika walau kidogo na ajira za majeshii kutokana na mahitaji ni mujibu wa sheria maana mtu ana MD ni nadra sana kumkuta et yupo jkt anajitolea kapita mujibu anachet umetoka fursa anapita nayoSahihi 100%
Sikatai kwamba uhitaji ni mchacheMD wanahitajika ni kweli na sipingi...ila sio katika wingi ambao watu wanautegemea ndo maana nikakupa mfano ajira za wizara ya afya walikuwa wanataka MD 15. Hiyo ni wizara ya afya. Imagine magereza.
Samahn braza. Sasa tuongelee uhalisia tuache kujipa moyo.Sikatai kwamba uhitaji ni mchache
Point yangu ni pale uliposema haina umuhimu ndipo nilipokataa
[emoji16][emoji16][emoji16]Samahn braza. Sasa tuongelee uhalisia tuache kujipa moyo.
Hzi zilikuwa ni ajira za wizara ya afya MD needed walikuwa ni 15. Imagine MT itakuwajeView attachment 2647674
Nimekuelewa na siko against na ww... just insisting jins ngoma ilivyo ngumu bila maelekezo[emoji16][emoji16][emoji16]
Daah nahisi kuna sehemu hatuelewani
Sikatai kwamba uhitaji ni watu wachache ila haimaanishi kwamba haina umuhimu
Yani kwa magereza hata wakichukua MD wawili you haimaanishi kwamba haina umuhimu
Point yangu unaielewa lakini
Hii ni sahihi kabisa labda uwe special kweli kweliNimekuelewa na siko against na ww... just insisting jins ngoma ilivyo ngumu bila maelekezo
[emoji16][emoji16][emoji16]mwendo ni ule ule si unaona utumishi na tamisemi jam kama loteUsahili wa PT mwaka waliita watu wengi sana kweny usahili...nurse degree waliitwa 80. Watu wakadhn kweny hawa 80 labda 15 wanaweza kuchukuliwa...mkeka ulivyotoka degree hawakuzid hata wanne...na kuna afande alitutonya pale kweny usahil kuwa mmeitwa wengi ila wanagitajika ni wachache watu wakaanza kubisha kichichini[emoji16].
Ukonga kuna hospital ya magereza
Na kama izo degree wangekuwa hawaziitaji kwanini wametoa tangazo la kuwahitaji watu wa fani zilizotajwa pale kwenye tangazo
Sema username yako braza [emoji119]...tamisemi ina vituo vya zaid ya 2000 nchini nzima.lkn jana wametoa majina ya ajira za afya. Kaangalie ukikuta pharmacy degree au medical lab degree wanazid 20. Screenshot nitumie... je Magereza itakuwaje...degree inaweza kutmik sehm nyingi hata kweny leadership...ila kama wataaangalia uhitaji wa huduma zao believe me magereza hawana huduma za afya za kujaza degree. Labda sekta zingine.
Sasa wakati unasema huoni umuhimu wa degree ulikuwa unamaanisha nini?
Kwahyo lile tangazo la kutaka wenye degree walikosea tu kutuma hawaitajiki kabisa degree?Sema username yako braza [emoji119]...tamisemi ina vituo vya zaid ya 2000 nchini nzima.lkn jana wametoa majina ya ajira za afya. Kaangalie ukikuta pharmacy degree au medical lab degree wanazid 20. Screenshot nitumie... je Magereza itakuwaje...degree inaweza kutmik sehm nyingi hata kweny leadership...ila kama wataaangalia uhitaji wa huduma zao believe me magereza hawana huduma za afya za kujaza degree. Labda sekta zingine.
Mkuu wewe ni mtu wa Afya kweli umeelezea micjango yako vizuri na unaeilewa kweli kada ya Afya iko hivi Ukonga kule ilipo kambi ya kikosi Maalum Magereza wamejenga Hospitali kuu ya Jeshi, Yenye hadhi ya Hospitali kabisa kwasasa unavyosikia Serikali imejenga EMD kwa hospitali za Halmshauri karibia nchi nzima basi na Magereza wamwpewa zaidi ya 500B na Serikali wamejenga EMD yakisasa na full equiped wanamalizia baadhi ya majengoSijasema hawazihitaji... na kuongelea ukonga. Mi nakaa ukonga mombasa nna marafik piah ni maaskari pale... kama uliinilewa kuhusu utofaut wa hizo huduma za afya. Ukonga hamna hospital kuna kituo cha afya gereza la ukonga.
Ahsante sana Mkuu... kwa kunipa info. Nahilo ndo jibu nilikuwa nahitaji kule juu. Ahsante sana.Mkuu wewe ni mtu wa Afya kweli umeelezea micjango yako vizuri na unaeilewa kweli kada ya Afya iko hivi Ukonga kule ilipo kambi ya kikosi Maalum Magereza wamejenga Hospitali kuu ya Jeshi, Yenye hadhi ya Hospitali kabisa kwasasa unavyosikia Serikali imejenga EMD kwa hospitali za Halmshauri karibia nchi nzima basi na Magereza wamwpewa zaidi ya 500B na Serikali wamejenga EMD yakisasa na full equiped wanamalizia baadhi ya majengo
Pia inajengwa hospitali nyingine yenya hadhi ya Hospitali pale Makako Makuu Msalato nayo itakuwa full equiped kama ile ya Ukonga Before walikuwa na kituo cha Afya pale Getini ukonga na kule Chuo Cha Taaluma za Urekebishaji pia wamejenga Hospitali pale pape Ukonga