Anachosema huyo Rmrnobody yuko sahihi ...nadhn alikuwa hajui tu kama magereza wameanza kutoka huduma za afya zenye hadhi ya hospital. Kwasbb ameelewesha tyr kuwa MT nao wameanza kutoa huduma hiyo. Kuhusu degree kuchukua wengi au wachache jibu siku zote lzima wawe wachache sehem yoyote au kweny taasisi yoyote wenyr elimu kubwa (viongozi) wanatakiwa wawe wachache kuliko wenye elimu ndogo(ambao ndo wanandaji wa kazi zenyewe) kutokana na hotuba ya wazir bungeni n majina yalitoka juz kati ya MT hapo nafas za wenye taaluma zilizobaki si zaid ya 300.