Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Anachosema huyo Rmrnobody yuko sahihi ...nadhn alikuwa hajui tu kama magereza wameanza kutoka huduma za afya zenye hadhi ya hospital. Kwasbb ameelewesha tyr kuwa MT nao wameanza kutoa huduma hiyo. Kuhusu degree kuchukua wengi au wachache jibu siku zote lzima wawe wachache sehem yoyote au kweny taasisi yoyote wenyr elimu kubwa (viongozi) wanatakiwa wawe wachache kuliko wenye elimu ndogo(ambao ndo wanandaji wa kazi zenyewe) kutokana na hotuba ya wazir bungeni n majina yalitoka juz kati ya MT hapo nafas za wenye taaluma zilizobaki si zaid ya 300.
 
Umeona wapi mkuu?? Nimeangalia kwenye website yao saiv hamna

Sent using Jamii Forums mobile app

[emoji599][emoji599] JESHI LA MAGEREZA KUTOA MAJINA YA KUITWA KWENYE USAILI.

SOMA ZAIDI HAPA [emoji1370][emoji1370][emoji1370]


Jiunge na ajira portal hapa [emoji1370][emoji1370]


[emoji91]TAZAMA MAJINA YA WAALIMU WALIOPANGIWA VITUO VYA KAZI NA TAMISEMI HAPA [emoji1370][emoji1370]


MATOKEO YA MTIHANI WA KIDATO CHA NNE MARUDIO TAZAMA HAPA [emoji1370][emoji1370]


JIUNGE NASI ILI UPATE TAARIFA ZAIDI ZA KAZI NA ELIMU KUPITIA

🟢WHATSAPP
[emoji1484][emoji1484][emoji1484]
Ajira Utumishi 3️⃣

[emoji838] TELEGRAM
 
Usahili wa PT mwaka waliita watu wengi sana kweny usahili...nurse degree waliitwa 80. Watu wakadhn kweny hawa 80 labda 15 wanaweza kuchukuliwa...mkeka ulivyotoka degree hawakuzid hata wanne...na kuna afande alitutonya pale kweny usahil kuwa mmeitwa wengi ila wanagitajika ni wachache watu wakaanza kubisha kichichini[emoji16].
Majeshini bwana basi tu ila sijaelewa hekima yao hadi Leo kuita watu wote wale watoto maskini alafu kumbe uhitaji ni kidogo....don't tell me kuwa ukiwa na watu wengi ndio rahisi kupata cream....
 
Majeshini bwana basi tu ila sijaelewa hekima yao hadi Leo kuita watu wote wale watoto maskini alafu kumbe uhitaji ni kidogo....don't tell me kuwa ukiwa na watu wengi ndio rahisi kupata cream....
Wanaita watu wengi ili ionekane haki ilitendeka.

Ila kwa ground mambo ni magumu sana.

Kama huna 'Mazingira' basi tegemea kuliwa kichwa..
 
Mkuu wewe ni mtu wa Afya kweli umeelezea micjango yako vizuri na unaeilewa kweli kada ya Afya iko hivi Ukonga kule ilipo kambi ya kikosi Maalum Magereza wamejenga Hospitali kuu ya Jeshi, Yenye hadhi ya Hospitali kabisa kwasasa unavyosikia Serikali imejenga EMD kwa hospitali za Halmshauri karibia nchi nzima basi na Magereza wamwpewa zaidi ya 500B na Serikali wamejenga EMD yakisasa na full equiped wanamalizia baadhi ya majengo


Pia inajengwa hospitali nyingine yenya hadhi ya Hospitali pale Makako Makuu Msalato nayo itakuwa full equiped kama ile ya Ukonga Before walikuwa na kituo cha Afya pale Getini ukonga na kule Chuo Cha Taaluma za Urekebishaji pia wamejenga Hospitali pale pape Ukonga
Na sisi kina CO vip ndugu naona MD tu inakua mjadala mrefu
 
Back
Top Bottom