Unajaribu kuficha identity[emoji28]Hahaha nazingua tu Mkuu nilikuwa pale 832KJ[emoji4]
MT naonaga hainaga ronja ngj tusbr liwalo na na liweLonja za MT jaman
Ko wale wenye taaluma na fani haijuilikani wataanza kuitwa lin cuz yale majina ya juzi kati yanaonesha watu kesho wanaanza kozi.MT naonaga hainaga ronja ngj tusbr liwalo na na liwe
Sidhani kama kweli kozi itaanza keshoKo wale wenye taaluma na fani haijuilikani wataanza kuitwa lin cuz yale majina ya juzi kati yanaonesha watu kesho wanaanza kozi.
Itakuwa ni mkwara tu sio...Sidhani kama kweli kozi itaanza kesho
hahahaa kozi bado ni mwaka mzima au miez 9Jaman wakuu sijajibiwa hivi koz ccp ishaanza na kama imeanza i na muda gani
Ndio maana uhakiki wa askari wote kufanyika kwa siku mbili sidhan kama itawezekana .otherwise wafanye partially partiallyItakuwa ni mkwara tu sio...
Nilikua kwa mujibuDuuh umejuaje mkuu
Angalau ww umesadia vizuri kutoa jibu na obviously jeshi ni taasisi kubwa mno shughuli moja haiwezi kukwamisha shughuli pamoja na maadhimisho hayo ambayo kimsingi sehemu kubwa yanaandaliwa na kamandi husika JKT leo Kuna shughuli kibao zinaendelea kwenye chombo tofauti na hayo maadhimisho.yaan jeshini shuguli moja haiwez kuharib shughur nyingine,ungekua umekaa angalau miaka mi3 kule ungenielewa,
Kwahyo kwa mantiki hiyo sisi tuliotangawaziwa nafasi kutokea huku mtaani ndio tumepigwa ndoige au?A
Angalau ww umesadia vizuri kutoa jibu na obviously jeshi ni taasisi kubwa mno shughuli moja haiwezi kukwamisha shughuli pamoja na maadhimisho hayo ambayo kimsingi sehemu kubwa yanaandaliwa na kamandi husika JKT leo Kuna shughuli kibao zinaendelea kwenye chombo tofauti na hayo maadhimisho.
Baba iyo imeisha iyo .ni sukunyo sio ndoige tenaKwahyo kwa mantiki hiyo sisi tuliotangawaziwa nafasi kutokea huku mtaani ndio tumepigwa ndoige au?
Kama wapo seriaz MT ndani ya wiki hii watafanya jamboAtakaepigiwa simu na MT atupe lonja
Ka pdf?Kama wapo seriaz MT ndani ya wiki hii watafanya jambo
Apo ni PDF maana fani ni nyingi sanaKa pdf?
Sema MT wanajidharau sana wao...hapo degree watakula ndoige za kutoshaApo ni PDF maana fani ni nyingi sana
Kila sehemu saiv watu wa shahada ni kizungumkuti sana kupata nafasi ,sijui tatizo ni niniSema MT wanajidharau sana wao...hapo degree watakula ndoige za kutosha
Ngoja tusikilizie tuone MT kama watabless watu wenye degree. Japo hata mm nikifikiria Sion Umuhim wa Degree Kwa MTKila sehemu saiv watu wa shahada ni kizungumkuti sana kupata nafasi ,sijui tatizo ni nini
Kwa fikra zangu nadhani mchakato wa usaili utakua wa muda mfupi sana. Ili kuwai vijana waliotangulia KiwiraNgoja tusikilizie tuone MT kama watabless watu wenye degree. Japo hata mm nikifikiria Sion Umuhim wa Degree Kwa MT