Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Kuna jamaa yangu alipigika sana kitaa baada ya kumaliza chuo,

Mungu sio baba levo, sahivi ni luteni wa jeshi
 
MT kuna mwanangu anafukuzia. Za Ndani inavyoonekana majina yako tyr shortlisted Ofisini...nahis wanasubir kupewa go ahead ya kutoa mkeka. Ila kama mtu unamkono mrefu unaweza kupata.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…