Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Nimepata nguvu na kuamini safari Hii naeza kupata ajira hizi za majeshi, Nina marafik zangu wa karibu sana mmoja wa kike na mmoja wa kiume wote wamepata nafasi ya Ajira hzi mpya za ualimu,hakika kila rizki inakuja kwa wakat wake.Tumuamini mungu kama yeye ndio mtoa rizki na hakuna mwengine zaidi yake.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna jamaa yangu alipigika sana kitaa baada ya kumaliza chuo,

Mungu sio baba levo, sahivi ni luteni wa jeshi
 
MT kuna mwanangu anafukuzia. Za Ndani inavyoonekana majina yako tyr shortlisted Ofisini...nahis wanasubir kupewa go ahead ya kutoa mkeka. Ila kama mtu unamkono mrefu unaweza kupata.
 
Back
Top Bottom