Himidt Lengo
JF-Expert Member
- Jan 4, 2018
- 307
- 244
Uzuri mboga saba na watoto midebwedo au watoto wa vigogo ni wachache jeshini, wazalendo halisi wapo vizuri , kwa hiyo haina shida.Ndio oljoro kozi imepoa ,, hivyo wakishua wengi wanapagombania.
Pori si mwishoni mwa kozi au?Kama nawaona vile walishapiga zao six weeks za mkesha saa hizi wako pori
Hilo jina lisikutishe mkuu Kihangaiko ni jina la kijiji tu huko Bagamoyo hiyo kambi imechukua jina la hicho kijiji
Kuna sehemu pia inaitwa Kiharaka huko Bagamoyo so ni majina tu
Sema lile baridi la Arusha sio poa ukiwa six week mkesha utapigika sana.Nasikia kihangaiko(msata) ni pagumu hamna mfano.
Oljoro watoto wa maofisa wengi hupelekwa kule kwahiyo scale kuna muda huwa inasinyaa baada ya kukakamaa sana.
oljora inaweza kuwa rahis kwenda ila ngumu kutoboa usaili,Shukrani mkuu hili jibu limenyooka
Haya mambo yanachanganya sana maana kuna wengine wanasema Msata parahisi kwa wenye connection mara wengine wanasema Oljoro ndio parahisi ndio maana nikaona nije kuuliza humu
Hapo kwa scale umemaanisha kwamba course ya Oljoro huwa imepoa kidogo kuliko ya Msata au
Mi navyofahamu huwa ni baada ya six weeks mkuuPori si mwishoni mwa kozi au?
Mkuu mbona hata Msata kuna baridi hasa usiku waulize waliopita wakuambie, navyofahamu hakuna kambi ya Jeshi ya mafunzo ambayo iko kwenye eneo lenye joto labda kambi za malezi au hizi zilizopo Dar, ni kwamba tu baridi linazidiana ila Msata nako kuna baridi kuleSema lile baridi la Arusha sio poa ukiwa six week mkesha utapigika sana.
Kwa upande wangu me bhana maeneo ya baridi alafu upige kozi naona kuvunjika njenje maana sometimes viungo vinakaza,Nakumbuka nilivyokuwa jkt Makuyuni maafande walitushauri tule sana karanga mbichi kulainisha joints
Magereza walishatoa nafasi na watu walishafanya usaili .Hii itakua magereza.
Yeah kote lipo baridi ila Oljoro linazidi kama ulivyosemaMkuu mbona hata Msata kuna baridi hasa usiku waulize waliopita wakuambie, navyofahamu hakuna kambi ya Jeshi ya mafunzo ambayo iko kwenye eneo lenye joto labda kambi za malezi au hizi zilizopo Dar, ni kwamba tu baridi linazidiana ila Msata nako kuna baridi kule
Mkuu usahili tena?.oljoro inakuwa na watu wengi sana na usahili unakua mgumu ila msata usahili unakuaga kawaida tuu
We jamaa bana.Huko kwenye scale ngumu ndio kuzuri..unamaliza kozi unakua umeiva sawa sawa
kila kitu hadi oral upo ila ni maswali kuhusu ww,usahili unakaza sana kwenye vyeti na nida vifanane na maelezo yako na jina lisikosewe hata kidogoMkuu usahili tena?.
Usahili wa uko si vipimo tu au me ndio sijui.
UnywanywaWe jamaa bana.
incase you don't have any parent namna gani apo.... lakn mi nlsikia nida ni ya baba pekeake kwa sababu huyo ndo unamfuata majina ila kwa mama not big dealunaenda hadi na namba za nida za wazazi,
Bila shaka umeongea kinyume mkuuNjoeni oljoro muone urahisi wake
Oya weeeh..sio poa.[emoji28]unaenda hadi na namba za nida za wazazi,
Kama havifanani si unatumia affidavit.kila kitu hadi oral upo ila ni maswali kuhusu ww,usahili unakaza sana kwenye vyeti na nida vifanane na maelezo yako na jina lisikosewe hata kidogo