Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Ndio oljoro kozi imepoa ,, hivyo wakishua wengi wanapagombania.
Uzuri mboga saba na watoto midebwedo au watoto wa vigogo ni wachache jeshini, wazalendo halisi wapo vizuri , kwa hiyo haina shida.

Ila kuleta ubishoo jeshini hususa ni kwenye kozi za kuandaa askari na kupangia hawa kambi ile na wale kambi flani kwa sababu za hadhi ya wazazi wa watoto ni mapuuza sana na ni vizuri waache.

Maana vita ikitokea haijui cha midebwedo, watoto mboga saba au wana walio vizuri kijeshi, ni kazi kazi dadekkkk
 
Pori si mwishoni mwa kozi au?
 
Nasikia kihangaiko(msata) ni pagumu hamna mfano.

Oljoro watoto wa maofisa wengi hupelekwa kule kwahiyo scale kuna muda huwa inasinyaa baada ya kukakamaa sana.
Sema lile baridi la Arusha sio poa ukiwa six week mkesha utapigika sana.

Kwa upande wangu me bhana maeneo ya baridi alafu upige kozi naona kuvunjika njenje maana sometimes viungo vinakaza,Nakumbuka nilivyokuwa jkt Makuyuni maafande walitushauri tule sana karanga mbichi kulainisha joints
 
oljora inaweza kuwa rahis kwenda ila ngumu kutoboa usaili,
 
oljoro inakuwa na watu wengi sana na usahili unakua mgumu ila msata usahili unakuaga kawaida tuu
 
Mkuu mbona hata Msata kuna baridi hasa usiku waulize waliopita wakuambie, navyofahamu hakuna kambi ya Jeshi ya mafunzo ambayo iko kwenye eneo lenye joto labda kambi za malezi au hizi zilizopo Dar, ni kwamba tu baridi linazidiana ila Msata nako kuna baridi kule
 
Yeah kote lipo baridi ila Oljoro linazidi kama ulivyosema
 
Kila mtu anatamani ajue watu wanaoitwa lini nahawajajua, ilakwenye upande wavitu gani vinatakiwa wanajua duh!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…