Kuna mibangaHizo nafas wenyewe pia kwa taarifa zlizopo wamesema ni chache mno ni za kuongezea tu kwa hio mbanga zinasuguana kiukweli ngumu kushinda maelezo
Kuna UVCCM, wanatakiwa waingie humoKuna mibanga
Kuna maelekezo
Kuna wanasiasa
Kuna mamlaka
Basi imekua tafrani nguo kuchanika maana dahhh....
Kuna disiiz na arasiiz....🤣Kuna UVCCM, wanatakiwa waingie humo
Hatari sana mm niliskia zile nafas 2000 walizosema kweny budget Yao lakin naon tafraniKuna mibanga
Kuna maelekezo
Kuna wanasiasa
Kuna mamlaka
Basi imekua tafrani nguo kuchanika maana dahhh....
Sorry nilifikir not niliskiaHatari sana mm niliskia zile nafas 2000 walizosema kweny budget Yao lakin naon tafrani
Na hata miongoni mwao bado wananyang'anyiana, yaani hazitoshi.Kuna disiiz na arasiiz....🤣
Tuseme nini sasa katika hilihazitoshi
🙆Na hata miongoni mwao bado wananyang'anyiana, yaani hazitoshi.
Waunde tu Whatsapp Groups zao wawe wanatumiana hizo nafasi huko badala ya kwachosha watu.
Mwambie atulie kijana, kesho afaham fungu lake kabla ya saa nane mchana.Kuna chief imerusha jina lake tangia juz kwa mbanga yake ana was was kama atapita maan mbanga yake ilimwambia mpka jina lishushwe ndo atalifanyia maarifa lakin dogo ana was was balaa
Acha tu mkuu.Midahii majina yapo viwandani yanachakatwa baada ya zoezi la jana na leo kua la vutankuvute.
😳Machaka ya vyombo vya ulinzi by proffesional uwa pagumu sana[emoji16][emoji119]bora ungeharibu form four angalau kuna possibility
Kutakuwa na usaili mwengine tena????????Mwambie atulie kijana, kesho afaham fungu lake kabla ya saa nane mchana.
[emoji23] [emoji23]Machaka ya vyombo vya ulinzi by proffesional uwa pagumu sana[emoji16][emoji119]bora ungeharibu form four angalau kuna possibility
Yes, kwanza walikua kwenye hatua ya ukaguzi wa vyeti, ukaguzi wa mwili na vipimo vya urefu.Kutakuwa na usaili mwengine tena????????
Unaomba kazi mnazowatukana kila sikuMakamanda...samahani nilituma barua polisi juzi ila ni mtu alinipelekea sababu me nilikuwa mbali
Sa katika kutuma vyeti nikasaau kumtumia namba za nida...kwaio alivyopeleka hakuweka..
Sa wanangu apo ntaitwa kweli kwenye usaili ata au ndo nishadisqualify juu kwa juu?
Yes, kwanza walikua kwenye hatua ya ukaguzi wa vyeti, ukaguzi wa mwili na vipimo vya urefu.
Nafikiri baada ya mchujo, kesho ndipo wataingia kwenye kinyang'anyiro cha pili ambao itakua ni written
Kiongozi samahani sjaelewa hapa hayo majina ni ya zile nafasi za mwezi March au vp ?Midahii majina yapo viwandani yanachakatwa baada ya zoezi la jana na leo kua la vutankuvute.
Huu ni mchakato ulio anza 21 AugustKiongozi samahani sjaelewa hapa hayo majina ni ya zile nafasi za mwezi March au vp ?