southernboy
JF-Expert Member
- Sep 27, 2015
- 882
- 1,075
jw bila cha la7 hatakama una elimu gani kupenya ni ngumu labda na maelekezo,but polis cha la7 hata mimi sikuweka kwenye isahili na hawakuuliziaHapo Cheti cha la Saba sasa...wengine tulijifanya wajuaji tukavuka darasa
kuzama JW pagumu sana aisejw bila cha la7 hatakama una elimu gani kupenya ni ngumu labda na maelekezo,but polis cha la7 hata mimi sikuweka kwenye isahili na hawakuulizia
Hii code imenishinda kufungua kwasababu ya uwepo wa baadhi ya vipengeleNatabiri ukipita huu usaili, usaili wa mwakani watu watakua wengi sana na wengine watatamani hata kuhonga lakini ukweli ni kwamba watakua wamechelewa na kutakua hakuna tena mtu atakeyewaponda vijana wanaoenda kujitolea nawaza tu kwa sauti wachache sana tuko pamoja apa hasa wale wanaoenda magereza na tanapa😂😂😂
Yeah ila Kuna jeshi la uhifadhi nilikosea mkuu
Mimi nawaza leaving certificates zote shule nilikosoma wanasema mwaka wetu hamna Kuna barua za utambulisho sijui kama watakubali hicho tu ndo nwaza sipati majibuHakikisha unajiunga kwenye orodha JKT huuu mwaka zikija fursa hakika zinakukuta kambini
Unapita hivi
Usiogope hata kam upo ukingoni 26
Usizidi 22Na kisema umri usizid miaka 22 mwenye 23 kwenda juu ndo hachukuliwi au hata mwezi 22 na miezi minne
Polisi ulikua kada gani jamaa angujw bila cha la7 hatakama una elimu gani kupenya ni ngumu labda na maelekezo,but polis cha la7 hata mimi sikuweka kwenye isahili na hawakuulizia
Mm naamini pesa ndio muhimu...uwe na wadhifa au usiwe na wadhifa....maana hata hao wenye wadhifa wanatetemeshwa na wenye pesaNimekusoma afande japo wengi tunapenda reputation ya kuwa miongoni mwa waliomo ndani ya hvi vyombo vya ulinzi.
Ngoja tuendelee kupambana
hahahaa duuhNchi Ngumu hii Nasikia Jwtz nafasi zimetoka za chinichini mwisho tareh 9, wale watoto wa watu wazito ndo nafasi zao izo [emoji26]
mwisho tar 9 kifanyaje mkuu kiripoti auNchi Ngumu hii Nasikia Jwtz nafasi zimetoka za chinichini mwisho tareh 9, wale watoto wa watu wazito ndo nafasi zao izo [emoji26]
Acha dharau we mjinga, watu unaowatukana ndio wanaokulindia nchi mpaka unapata kiburi cha kuandika takataka hii.Inaomekana kama hii kazi ni ya majitu yaliyofeli shule wanaamini div 4 kazi ya kushika bunduki inamfaa sana
Nenda na passport waambie wakuandikie barua ya utambulisho utaiambatanisha na hiyo passport yako, wakumbuke na kugonga muhuri wa shule& saini ya mkuu wa shule, ,fanya haraka wenzako wanabebwa muda hauwasubiriMimi nawaza leaving certificates zote shule nilikosoma wanasema mwaka wetu hamna Kuna barua za utambulisho sijui kama watakubali hicho tu ndo nwaza sipati majibu
Zikipita week3 kutoka sasa na hujapokea ujumbe wala call ya kukuita change mawazo anza kuwekeza akili ktk biashara na shughuli zingine ukuze kipato chako[emoji23].Nchi Ngumu hii Nasikia Jwtz nafasi zimetoka za chinichini mwisho tareh 9, wale watoto wa watu wazito ndo nafasi zao izo [emoji26]