Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Mfano mimi muda wowote ule ukiniambia tukimbie jogging umbali mrefu nitatoboa au nikupigie push ups naruka nazo tu vzuri
 
😅😅 ndoige hazikwepeki
 
Mbona member mpo kimya nimeona kujua aliwahi kufanya usahili wa polisi kwa upande wa madereva usahili unakuaje
Polisi wana hayo ? Nafikili unaenda CCP ukimaliza huko unapelekwa sasa kuanza kazi yani kama usahili wa udereva nahisi unafanyiwa ushakuwa polisi
 
Wakuu anayejua military science washaripoti?? Na course inaanza lini?? Mwenye lonja wakuu
 
Polisi wana hayo ? Nafikili unaenda CCP ukimaliza huko unapelekwa sasa kuanza kazi yani kama usahili wa udereva nahisi unafanyiwa ushakuwa polisi
Maanisha kwa upande wa fani ya certificate ya driving usahili dar unakuaje kwa upande wa fani ya driving
 


Unaweza kwenda chuo cha Polisi bila cheti cha JKT au JKU?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…