Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Hizi kazi zikitangwaza unaweza hisi umeshapata,, kuna kipindi nilianza na kukimbia mbio ili nipate pumzi , nikaanza na kukumbushia kwata za pass square lakini waapi.... nilipigwa ndoige hata damu sikupimwa(Maana bora ningepimwa hata damu nijue afya yangu)

All in all mungu ni mwema.
Nawatakia kila lakheri maafsa , kila mtu kashaandikiwa kuwa atashibia wapi.
Mfano mimi muda wowote ule ukiniambia tukimbie jogging umbali mrefu nitatoboa au nikupigie push ups naruka nazo tu vzuri
 
Hizi kazi zikitangwaza unaweza hisi umeshapata,, kuna kipindi nilianza na kukimbia mbio ili nipate pumzi , nikaanza na kukumbushia kwata za pass square lakini waapi.... nilipigwa ndoige hata damu sikupimwa(Maana bora ningepimwa hata damu nijue afya yangu)

All in all mungu ni mwema.
Nawatakia kila lakheri maafsa , kila mtu kashaandikiwa kuwa atashibia wapi.
😅😅 ndoige hazikwepeki
 
8A0440AC-6C87-4AB9-A929-DAB72C58BD35.png
 
Mbona member mpo kimya nimeona kujua aliwahi kufanya usahili wa polisi kwa upande wa madereva usahili unakuaje
Polisi wana hayo ? Nafikili unaenda CCP ukimaliza huko unapelekwa sasa kuanza kazi yani kama usahili wa udereva nahisi unafanyiwa ushakuwa polisi
 
Wakuu anayejua military science washaripoti?? Na course inaanza lini?? Mwenye lonja wakuu
 
Ukiwa na maaana Gani???

Polisi ni kazi kwa watu ambao akili zao zipo stagnant!!


Hawaitaki level kubwa ya maisha wanaitaji kuwa middle class!!

Kulala
Kula
Usafiri

Ila kwasisi ambao tu dream Big sualaa la kuajiliwa tu ni changamoto!!!
Mwaka huu nilienda Kufanya field ofisi Fulani nikaamini kuajiliwa ni utumwa yaani Toka ahsubui mpaka jioni umekaa tu na mshahara mwisho wa MWezi..

Mishe kitaaa haziendiii
Kuajiliwa ni utumwa mshahara maana yake ni pesa ya kujikimu ili uendeleee kwenda kazini


Unaweza kwenda chuo cha Polisi bila cheti cha JKT au JKU?
 
Back
Top Bottom