Zafrain sag
JF-Expert Member
- Sep 14, 2019
- 238
- 354
Walikuwa very strictly kwenye umri mwisho ilkuwa miaka 28 wakat wa usaili,Miaka 29 walitemwa wakiwemo watt wa mabrighedia wastaafu walitemwa.Yeah jamaaaa yuk kundi namba mbili ...time wako makutu figisu zilikuwa nying watu wa 1993 wengine watoto wa wakubwa wakala za uso umri
Sio poa mzee..Mkiwa kwenye kozi kuna mda mnapewa vikaratasi uandike jina la mtu ambaye unaona hafai kuwa officer kwa tabia zake so wengine hapa huwa wanachomekewa
Walilala nao kiulalo laloooWalikuwa very strictly kwenye umri mwisho ilkuwa miaka 28 wakat wa usaili,Miaka 29 walitemwa wakiwemo watt wa mabrighedia wastaafu walitemwa.
Yes na wanangu 4 wawil watoto wa ma brigedia madktar umri ulizid na wawil watoto wa makanali Moja mtoto wa Col Alikuwa na mshono wote walitemwaWalikuwa very strictly kwenye umri mwisho ilkuwa miaka 28 wakat wa usaili,Miaka 29 walitemwa wakiwemo watt wa mabrighedia wastaafu walitemwa.
Soon watatoa hauchui round had decemberHivi polisi raundi hii itawachukua mda gani kuapdodi majina pdf. Maana kuna tetesi eti kunawaliotangulia ccp bado hawajaanza kozi wanasubiriwa wa raundi hii ili kujazia idadi
Wanasogeza mbna, angalia za magereza zile degree mbka 33 yrsWatu umri una watema
Nimewasanua hiloHeko nyingi sana Kwa wazalendo wapiganaji, tusichoke kwakuwa tupo mwaka wa matarajio ya uchaguzi mara nyingi ajira yingi zinamwagwa hivyo tumaini ni kubwa kuliko!
Ushasema magereza kakaWanasogeza mbna, angalia za magereza zile degree mbka 33 yrs
jamaa wa ikulu anasemaje
Kitambo sana...
Aisee Zanzibar ni noma kuna chief yupo zenji ananiambia nafas za polis zinauzwa milion 4 na watu wanazinunua kinyume chake hautoboi Zanzibar nako ni kugumu katk michako ya ajira tena anasema huyo anaefanya hivo ni wa ngaz za juu na ni mkuu ktk kitengo Cha ajira
Sawa mkuu hamna shidamkuu ungeweka code kidogo maana hii ishu ikitoka nje ya humu inaweza leta shida
Mkuu hakuna jeshi la waswahili Kam si polis kuna mwana niliwah kumskia hivo ila aliniambia ni kama alimuondosha njian tu asimuharass coz alimwambia kua mm jina lako nimelipelek ila makao huko huenda wakalikata kwa sabab wanachagua wenyew but ni njia tu ya kumtia tamaa hatar SanNimesikia sikia hivyo kama kuna mtu anaejua utaratibu ulivyo tujuzane asee
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Huyo niliemskia yeye ni binti kwa hio anamwambia nafasi za wanawake ktk jeshi la polisi ni kidogo mara anamwambia asubur janaur watatoa tangazo mara hivi ila reason ashaijua kua Hana mshiko anahis atamsaidia Bure tuombe Mungu na SS atupe chenye kher na SS ila kweny polis mthn uswahili mwingiNimesikia sikia hivyo kama kuna mtu anaejua utaratibu ulivyo tujuzane asee
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app