Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Naona huu uzi ushaingiliwa warzone kwa namna moja au nyingine amefanya kosa moja kubwa la kimkakati kwa kujua au kutokujua.Tuwe makini kuna watu kwenye huu uzi wameshakuja kwa kazi maalumu.Few watakuwa wameliona hilo.
 
Nchi hii vyombo vya ulinzi na usalama vinavyojitahidi kwenye maslahi ni JWTZ na.

Asante sana jadda.

Vipi kuhusu takukuru?(Pccb)na DCEA
 
Kwamba wenye madaraja ya chini ya ufaulu ndiyo wanastahili kuwa polisi hapa Tanzania. Kwamba ndiyo hawa hawa wanatakiwa kufanya upelelezi na kuchukua maelezo ya watuhumiwa mbalimbali......aiseeee
 
Kwamba wenye madaraja ya chini ya ufaulu ndiyo wanastahili kuwa polisi hapa Tanzania. Kwamba ndiyo hawa hawa wanatakiwa kufanya upelelezi na kuchukua maelezo ya watuhumiwa mbalimbali......aiseeee
Madaraja yako ya juu. Hayawasaidii wanasema, halafu mpka leo wanamind kwann tuliwanyima majibu mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…