Wewe ni mwehu, umeona shida gani? Kwenda kutafuta hilo gazeti ili upate kusoma hayo majina. Acha kujidhalilisha kwa vitu vidogo vidogo kama hivi.MAZEE NIME APPLY DODOMA KWA ALIYOYAONA HAYO MAJINA ANISAVE
Mzee siwezi kulipata ndo maanaWewe ni mwehu, umeona shida gani? Kwenda kutafuta hilo gazeti ili upate kusoma hayo majina. Acha kujidhalilisha kwa vitu vidogo vidogo kama hivi.
Acha tu niwe mwehu kwa mambo ya msingiWewe ni mwehu, umeona shida gani? Kwenda kutafuta hilo gazeti ili upate kusoma hayo majina. Acha kujidhalilisha kwa vitu vidogo vidogo kama hivi.
Mambo ya msingi kwa kuwa polisi utasota mpaka akili ikukae sawa..Acha tu niwe mwehu kwa mambo ya msingi
Mambo ya msingi kwa kuwa polisi utasota mpaka akili ikukae sawa..
Mzee MBONA HUTAKI NASISI TUYAONE HAYO MAJINA?Ahaa ok
MBN UNAROHO MBAYA MZEEE SISI. WOTE SI WA TANZANIA AU?Ndio mzee mi nilipiga Cbg naona wamechukua pcb na pcm
Mzee Nini shida siutusaidie majina hayo?Makao makuu Dodoma
Mkoa wa dodoma tuuu unayo?Hayo majina ni kwa mkoa wa dodoma tu ? Au tz nzima ?nnachojua elimu ya juu ndo walituma dodoma ila 4 na 6 mikoa labda uniambie hizo 600 ni za mkoa wa dodoma tu walioitwa
Limejaa nini?
Unapenda sana kufanya kazi TISS?MWENYE UPDATE YEYOTE
JE USAILI USALAMA WA TAIFA TISS TAYARI?
Jibu unalo vipi una update yeyoteUnapenda sana kufanya kazi TISS?
Tumesoma na tuna A CLASS MZEEKama hujasoma sayansi wala usijiangaishe, fanya mambo mengne tu
HatakamaJeshi la wapumbavu