Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Wiki zinakatika tuu wanangu...
Source zote ukiziuliza zinasema vuteni subira..daah
 
Vip div 3 hawachukui?
 
Kama PT wamekula muda mrefu hivi...je, MT,ZT,UT duh [emoji849] hatar tupu.....bado hapo choo cha kulipia anasema mwezi ujao Tpdf nao wamo mh
Hawa watakuwa wanasubiriana isijekutokea mtu mmoja akapata UT huyohuyo kapata ZT mara kapata MT na tena kapata PT hivyo kuna uwezekano wanasubiriana watoe kwa pamoja PDF..(nimewaza tu)

Lakini pia mambo ya kibajeti nayo yanaweza kuwa na utaratibu wake,pia kuna suala la walioko vyomboni kufanya kozi zao hivyo facility ziko finyu ndiyo maana lonja iliyopo ni mwezi Januari ndiyo watu wataingia CCP..

Yote kwa yote jeshi lolote lile halikaririki..
 

Upo sahihi kabisa.Na PDF inaweza kutoka muda Wowote tu.Kikubwa uvumilivu na kuombea kusomeka
 
Yani kuna jamaa kaniambia hapa wakuu wa vyombo vya usalama vijana wao wengi hawajapitia JKT, sasa wanafarakana sana kuhusu kuwachomeka vijana wao maana hawana sifa husika, Kuna kamanda mmoja alikua anaomba kama mtoto nafasi, ila anaambiwa mzee swala haliwezekani maana kijana wako hana sifa, akaulizwa je kijana wako anajua silaa begani wekaa, nilicheka sana
 
Kama hawajapita jkt ndo hawachaguliwi ?
 
Hiyo Lonja sio sawaa...
 
Kama PT wamekula muda mrefu hivi...je, MT,ZT,UT duh [emoji849] hatar tupu.....bado hapo choo cha kulipia anasema mwezi ujao Tpdf nao wamo mh
Tpdf huwa hawatangazi uraiani wanachukua vibog vyao makambini labda kama una mbanga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…