Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh Bado TPDF tu
Sema nao watataka wachache tena kama haoNimesikia JW October wanatoa...
Sema nao watataka wachache tena kama hao
mlioenda usaili tupeni hints za maswali
Hahahaha..Sema nao watataka wachache tena kama hao
[emoji23][emoji23][emoji23]ila Sio la sasaHahahaha..
Hilo chama la wana, wengine wanaita Kombakomba wengine Zoazoa wengine kanyaga twende wengine wanakuita changanyikeni..
Kuanzia darasa la saba hadi piihechidii wanaandikishwa.
Ombeni Mungu
Nasikia Kuna "KJ" nyingi mpya, hasa mikoa ya kusini mpakani na Mozambique..[emoji23][emoji23][emoji23]ila Sio la sasa
Kweli mama apewe pongezi kubwa Sana na Mungu ambariki.Mama Namuomba na kama kuna Wasaidizi humu ndani wamwambie na wamuombe mama Vijana wa Shahada,Astashahada na Stashahada wanaoendelea na Usaili Kilio chao na matumaini yao ni Mama Samia Wana Imani kubwa Mama atawachukua wote angalau mtaani Vijana wasomi waliosota Watapungua Kwa kweli na hawazidi hata elfu mbili hao wasomi.Mama Samia Tunakuombea,Wizara ya Mambo ya Ndani Tunawaombea.Mungu ibariki Tanzania,Mungu Libariki Jeshi la Polisi.Mungu Mbariki Rais Wetu Samia.Mama Samia amemwaga ajira sana. Tukiacha ushabiki mama anajaribu kupunguza ukali wa maisha.
Na sio Mara nyingi hii imetokea tu mwaka huu kwakuwa wanahitaji labour ila kwa degree huwa nikuanzia GPA ya 2.0 nakuendeleaJamani wakubwa naomba msaada kidogo nauliza hivii katika vyombo vya usalama mara nyingi huwa wenye ufaulu wa chini hupewa kipaumbele vipi je katika shahada na astashada huwa napo wanaangalia ufaulu mdogo yaani GPA au kwao ni tofauti??
Nyie wa astashahada wameangalia GPA zenu?Na sio Mara nyingi hii imetokea tu mwaka huu kwakuwa wanahitaji labour ila kwa degree huwa nikuanzia GPA ya 2.0 nakuendelea