Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Nchi pekee yenye No Brainer Jeshi...Very stupid [emoji2781][emoji2781][emoji2781][emoji2781]
 
wakuu, nimepanga kuaplai hii ya magereza shahada flani, sasa hili swala la leaving certificate inakuaje na mwaka wetu foem 6 hazkutoka, na vp hili la dakatar kupima afya, form tunatoa wap?
 
Hivi kwanini uhamiaji hawajatoa kigezo ya urefu..?? Anejua sababu atueleweshe..
Hivi na uhamiaji limeshakuwa Jeshi Kama Jeshi la Polisi au la wananchi au la magereza?

Masharti yao yataongezeka one day.
 
wakuu, nimepanga kuaplai hii ya magereza shahada flani, sasa hili swala la leaving certificate inakuaje na mwaka wetu foem 6 hazkutoka, na vp hili la dakatar kupima afya, form tunatoa wap?

Leaving ambatanisha hizo zilizokuwepo wala hakuna shida....swala la form iandae mwenyewe unaweza ingia website zao ukacheki sample...ukishindwa ni dm nitakutypia ntakupa
 
Hivi kigezo cha JKT ata mujibu wa sheria wanaruhusiwa kuomba? Msaada
 
Vijana pambaneni,wazee tunawaachia vyombo tumeshachoka,kila la heri.
 
Kabisa mkuu acha tumuombe mwenyezi mungu atusaidie
Mwenyezi Mungu ni Mwingi wa Rehema, Yeye ndiye Alpha na Omega, Hajawai kumuacha amuendeaye kwa nia ya dhati..

Kwa Mungu ninayo hakika utapata hitaji la moyo wako..
 
Tuombeane mkuu
Mnaoendelea na usaili wa PT komaeni,mnaotuma maombi MT,UT na ZT kuweni makini na Mungu awatangulie,mnaosubiri Jeshi Senior(TPDF) jipangeni pia hili ni komba komba watu zaidi ya 4000 na mbanga ni Mungu,Cheti cha JKT hasa hasa wale waliojitolea,mnao subiri wazee wa kaunda pale Mbuyuni endeleeni kuomba sana.

Bado kuna PCCB,TAA,KADCO,DEA nao wapo njiani,japo hawa huchukua namba ndogo sana.
 
Back
Top Bottom