future lawyer
JF-Expert Member
- Jan 28, 2020
- 419
- 423
Biashara gani[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91] kesho , biashara wanatoa pdf
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Biashara gani[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91] kesho , biashara wanatoa pdf
Biashara?[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91] kesho , biashara wanatoa pdf
Vp mkuu inakubali au tupe mlejesho kama unejaribuJamani cheti cha la saba ukiacha system inakubali..Ajira za takukuru
Nauliza jamani
Unazungumzia MT ,UT au ZT?[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91] kesho , biashara wanatoa pdf
Mbona unaombea wenzio njaa sana? Shukuru kwa kila jambo ndiyo njia ya mafanikio utaiona.
CCP hakuna wa kuchomolewa,hao Baba K wana nafasi zao wenyewe hazisubiri hawa wazingue ndiyo wawekwe.
Tena wataona wanaripoti kimya kimyaMbona unaombea wenzio njaa sana? Shukuru kwa kila jambo ndiyo njia ya mafanikio utaiona.
CCP hakuna wa kuchomolewa,hao Baba K wana nafasi zao wenyewe hazisubiri hawa wazingue ndiyo wawekwe.
Siombei mtu njaa bali nasubiri bahati hiyo kama ikitikea .Mbona unaombea wenzio njaa sana? Shukuru kwa kila jambo ndiyo njia ya mafanikio utaiona.
CCP hakuna wa kuchomolewa,hao Baba K wana nafasi zao wenyewe hazisubiri hawa wazingue ndiyo wawekwe.
Tena wataona wanaripoti kimya kimya
Nna uzoefu huo kaka hata rts msata ilikua hivyo hivyo utona mtu anakuja na tranka lake tuWe jamaa umemifanya nimecheka sana et wanarippti kimya kimya [emoji23][emoji23][emoji23]
Nna uzoefu huo kaka hata rts msata ilikua hivyo hivyo utona mtu anakuja na tranka lake tu
Lipi tenaTembeleeni Jeshi la Polisi Kuna Jambo Leo...
We nenda Kwan uliombea mkoa gani na ulikua na faniJaman m naombeni ushauri niliomba zimamoto na wameniita kwenye usaili ila cheti cha jkt sina sasa nawaza sijui niende au nisipoteze mda wangu tu mn nilifanya km kubahatisha.
Wa mikoani ndio bac kwaiyo [emoji21]Tembeleeni Jeshi la Polisi Kuna Jambo Leo...
Kama umeitwa nenda asee....Kusafiri napo ni moyo kwa kweli
Fani maalum majina ya usaili yametoka
Naona wametoa wale wa fani walio omba online