Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Mbona unaombea wenzio njaa sana? Shukuru kwa kila jambo ndiyo njia ya mafanikio utaiona.

CCP hakuna wa kuchomolewa,hao Baba K wana nafasi zao wenyewe hazisubiri hawa wazingue ndiyo wawekwe.

Kumbe baba K wana nafasi zao..?
 
Mbona unaombea wenzio njaa sana? Shukuru kwa kila jambo ndiyo njia ya mafanikio utaiona.

CCP hakuna wa kuchomolewa,hao Baba K wana nafasi zao wenyewe hazisubiri hawa wazingue ndiyo wawekwe.
Siombei mtu njaa bali nasubiri bahati hiyo kama ikitikea .
 
Nna uzoefu huo kaka hata rts msata ilikua hivyo hivyo utona mtu anakuja na tranka lake tu

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]....@Choo Cha Kulipia anasema tena wanakuja kwa kuchelewa[emoji119][emoji119][emoji119]
 
Jaman m naombeni ushauri niliomba zimamoto na wameniita kwenye usaili ila cheti cha jkt sina sasa nawaza sijui niende au nisipoteze mda wangu tu mn nilifanya km kubahatisha.
We nenda Kwan uliombea mkoa gani na ulikua na fani
 
Back
Top Bottom