Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Zimamoto niliomba kote makao makuu na mkoani pia sababu kuna baadh ya fani walitaka waombe mikoani......

Magereza nimeomba makao makuu....
Umri utakua umekutupa mkono kwa level ya Ku apply mkoani ndio maana wakakuacha mzee mwenzangu
 
Umri utakua umekutupa mkono kwa level ya Ku apply mkoani ndio maana wakakuacha mzee mwenzangu

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]....acha tuu yan tunajaribu mazali tuuu hakuna namna
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]....acha tuu yan tunajaribu mazali tuuu hakuna namna
Kujaribu mazali kwa saiv mm naona ni upuuzi tu maana wenye vigezo ni wengi kuliko nafasi zinazotangazwa khoo mpka wakufikie ni kama haiwezekani labda uwe na connection nzito ..
 
Sema kama uliaply jeshi lolote kama hawajakutafut imeisha iyo saiv zinafanyika interview mikoan wilaya washamaliza
Acha niendelee kuamini kuwa wenye degree hatujaitwa maana kukubali kuumaliza mapema hvi n kushindwa vita bila plan[emoji3][emoji3]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]dah aisee hawa jamaa hata mimi naanza kuamini kwamba mwendo wameumaliza[emoji23][emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hatukubali hadi dakika ya mwisho muendo tuumalize vipi kirahisi hv mungu yupo nasi
 
kwa wale wa magereza pdf inatoka tar 3/4 hyo ni sure 100% ,sasa sijui ni wa 4m4 tu au vp, source ni tulioaplai kwa level ya chet Tunduru tumeambiwa hvyo
 
Back
Top Bottom