Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Tunaanza usahili upya au?
Cna uhakika sana ila ikitokea zimetoka naamini kuna majina huwa yanawekwa kama reserve kule makao kwa ambao walituma maombi na wakafanya usahili na hawakubahatika kuonekan kweny mkeka wa mwsho, watapigiwa simu au majina yatatoka ila pia zile za mikoani kuna ambao majina yao yalienda hadi makao ila hayakuonekana kweny mkeka inasemekana huwa wanawekwa kama akiba ya muda mfupi ili kuja kufidishia pale upungufu utakapotokea kwa walioriport chuoni ila kimikoa pia wanawez kufanyisha usahili mdogo wa haraka kwa waombaji ambao walipelelz vigezo vichache miongon mwa vilivokua vimeahinishw kweny tangazo la awali
 
Huko CCP wale majamaa hawana masihara watu baadhi washafukuzwa kwa kosa dogo tu yani kule discipline tu jamaa wako serious kuna wadau wamefukuzwa huko
 
Back
Top Bottom