Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Kumpost hapa mkuu bado hakusolve lofoten.Kama una ushahidi mkuu kamreport ili achukuliwe hatua za kinidhamu na wakubwa zake huko.
Mpaka naamua hivi,ushahidi ninao, pa kuriport ndo sijapa,kama unafaham contacts zao naomba share na mimi. Na si kwamba lengo langu ni kumuanika,bali ni kupata mawasiliano na wakubwa zake
 
TUlipigwa kozi ngumu mujibu wa sheria mpaka maafande wakasema nyie mmeiva kuliko wale wa kujitolea miezi 6...maana wale wa kujitolea OP yetu wengi walikuja na maelekezo kwahyo kozi ililainishwa kidogo
Halfu bravo tulipigwa doso la maana halfu kwa kuongezea kuna siku tulidoji mabio..tulivyodakwa lile doso tulilopigwa ni hatari baada ya hapo nilijiona nimeiva sana aise
 
Back
Top Bottom