Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Sema hawa uhamiaji vikwazo vyao sio poa kumbe mpaka hakimu atie muhuri mbona kazi juu ya kazi daaah[emoji26][emoji26]
JamiiForums-2117577434.jpg
 
Haipo kihivyo mkuu as long as umepata gamba halal hata kama hukupewa ruhusa. Wapo watu wanasoma open University mkuu na wakimaliza wanapeleka gamba.
NB: Kama hujapewa ruhusa unaweza ukasoma ila elimu yako isiathiri majukumu yako ya kazi y kila siku. Sio unapangiwa kazi unasema nitakuw darasani. Hapo utazinguliwa.
Wengii wanatumia huo mchongo Mimi Bro wangu yeye alimface mkuu wa Gereza akampanga jamaa akawekwa night tu akawa anakula kitabu SAUT Law 4yrs kipindi cha UE anaomba Ruhusa kabisa jamaa anampa two weeks hadi akagraduate kabla hata hajaenda Nyota wakawa wamembadilishia Salary!!
 
Haipo kihivyo mkuu as long as umepata gamba halal hata kama hukupewa ruhusa. Wapo watu wanasoma open University mkuu na wakimaliza wanapeleka gamba.
NB: Kama hujapewa ruhusa unaweza ukasoma ila elimu yako isiathiri majukumu yako ya kazi y kila siku. Sio unapangiwa kazi unasema nitakuw darasani. Hapo utazinguliwa.
sasa mkuu apo uombe upangiwe town kwenye vyuo ukipangiwa porini si inakuwa kipengele
 
sidhan kama hii ni sahihi maana wapo wanaoingilia four then wanakuja kuonesha gamba la chuo wakiwa wamemaliza
Soma vzuri nilivyoandika, kumaliza mafunzo na kuonesha cheti chako cha chuo ni tofauti ma kutoa cheri chako muda ukiwa unaendelea na kazi. Yaani nilimaanisha umeajiriwa 2019 halafu cheti unawapelekea ulisoma 2020 na umemaliza 2023 na hapo haujapewa ruhusa.

Ila jaribu tu kila kitu kinawezekana.
 
TISS ni usalama wa taifa. Ni taasis inayojitegemea tofauti na polisi. Intelijensia ninayoiongelea hapa ni wapelelezi ndani ya jeshi ya polisi.
Kwahiyo hao INTELIJENSIA wanakuwa ndani ya PT kumbe,kitengo kizuri au hakuna ishu?
 
Soma vzuri nilivyoandika, kumaliza mafunzo na kuonesha cheti chako cha chuo ni tofauti ma kutoa cheri chako muda ukiwa unaendelea na kazi. Yaani nilimaanisha umeajiriwa 2019 halafu cheti unawapelekea ulisoma 2020 na umemaliza 2023 na hapo haujapewa ruhusa.

Ila jaribu tu kila kitu kinawezekana.
Hakuna shida mkuu. Unaweza ukasoma hata bila kuwa na ruhusa. Ila utajua mwenyewe utajipangaje na utawapangaje wakubwa zako. Unapoambiw uishi na wakubwa zako vizuri...uelewe kuwa kuna vitu kama hivyo. Ukiishi nao vizuri watakupa majukumu ambayo yatakupa muda wa kusoma pia.
 
Back
Top Bottom