Living Pablo
JF-Expert Member
- May 17, 2020
- 3,549
- 10,995
Sema hawa uhamiaji vikwazo vyao sio poa kumbe mpaka hakimu atie muhuri mbona kazi juu ya kazi daaah[emoji26][emoji26]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wengii wanatumia huo mchongo Mimi Bro wangu yeye alimface mkuu wa Gereza akampanga jamaa akawekwa night tu akawa anakula kitabu SAUT Law 4yrs kipindi cha UE anaomba Ruhusa kabisa jamaa anampa two weeks hadi akagraduate kabla hata hajaenda Nyota wakawa wamembadilishia Salary!!Haipo kihivyo mkuu as long as umepata gamba halal hata kama hukupewa ruhusa. Wapo watu wanasoma open University mkuu na wakimaliza wanapeleka gamba.
NB: Kama hujapewa ruhusa unaweza ukasoma ila elimu yako isiathiri majukumu yako ya kazi y kila siku. Sio unapangiwa kazi unasema nitakuw darasani. Hapo utazinguliwa.
jamaa anapendaga mabishano tuu[emoji1]PT ukata utawaua . sema so mbaya njaa ndiyo itakayo nileta huko
Mkuu kwan umeshatuma?Sema hawa uhamiaji vikwazo vyao sio poa kumbe mpaka hakimu atie muhuri mbona kazi juu ya kazi daaah[emoji26][emoji26]View attachment 2458957
sasa mkuu apo uombe upangiwe town kwenye vyuo ukipangiwa porini si inakuwa kipengeleHaipo kihivyo mkuu as long as umepata gamba halal hata kama hukupewa ruhusa. Wapo watu wanasoma open University mkuu na wakimaliza wanapeleka gamba.
NB: Kama hujapewa ruhusa unaweza ukasoma ila elimu yako isiathiri majukumu yako ya kazi y kila siku. Sio unapangiwa kazi unasema nitakuw darasani. Hapo utazinguliwa.
Bado ndo npo hatua ya mwisho ndo napitia tangazo nakuta icho kikwazo(kwa mtazamo wangu)Mkuu kwan umeshatuma?
post haraka mkuu. ila mchakato uhamiaji wameanzaBado ndo npo hatua ya mwisho ndo napitia tangazo nakuta icho kikwazo(kwa mtazamo wangu)
Maombi kwa EMS yanafika kwa siku 2 na diedline ni ni tarehe 29 . kesho tarehe 27. Kazi kwako mkuu.Bado ndo npo hatua ya mwisho ndo napitia tangazo nakuta icho kikwazo(kwa mtazamo wangu)
Mkuu ulikuwa wapi muda wote huoBado ndo npo hatua ya mwisho ndo napitia tangazo nakuta icho kikwazo(kwa mtazamo wangu)
even 24 hrs mkuu,ajaribu bahati yakeMaombi kwa EMS yanafika kwa siku 2 na diedline ni ni tarehe 29 . kesho tarehe 27. Kazi kwako mkuu.
Pesa ya kugharamia vitu vyote hvyo ndo shida.Mkuu ulikuwa wapi muda wote huo
Ila never give up hakikisha kesho unaituma tu iwe isivyo
doh ,mkuu ni kweli hali ni mbaya mtaaniPesa ya kugharamia vitu vyote hvyo ndo shida.
Mkuu kama ni uhamiaji achana nayo mzee utajisumbua burePesa ya kugharamia vitu vyote hvyo ndo shida.
lkn muhuri ni bukutano hakimu wa mahakama zetu, medical examination form 10kPesa ya kugharamia vitu vyote hvyo ndo shida.
Soma vzuri nilivyoandika, kumaliza mafunzo na kuonesha cheti chako cha chuo ni tofauti ma kutoa cheri chako muda ukiwa unaendelea na kazi. Yaani nilimaanisha umeajiriwa 2019 halafu cheti unawapelekea ulisoma 2020 na umemaliza 2023 na hapo haujapewa ruhusa.sidhan kama hii ni sahihi maana wapo wanaoingilia four then wanakuja kuonesha gamba la chuo wakiwa wamemaliza
Hivi kamishna wa viapo ni tofauti na advocate?Maana najua vijana wangu wengi hapa wana mihuri ya maadvocateSema hawa uhamiaji vikwazo vyao sio poa kumbe mpaka hakimu atie muhuri mbona kazi juu ya kazi daaah[emoji26][emoji26]View attachment 2458957
Kwahiyo hao INTELIJENSIA wanakuwa ndani ya PT kumbe,kitengo kizuri au hakuna ishu?TISS ni usalama wa taifa. Ni taasis inayojitegemea tofauti na polisi. Intelijensia ninayoiongelea hapa ni wapelelezi ndani ya jeshi ya polisi.
Hakuna shida mkuu. Unaweza ukasoma hata bila kuwa na ruhusa. Ila utajua mwenyewe utajipangaje na utawapangaje wakubwa zako. Unapoambiw uishi na wakubwa zako vizuri...uelewe kuwa kuna vitu kama hivyo. Ukiishi nao vizuri watakupa majukumu ambayo yatakupa muda wa kusoma pia.Soma vzuri nilivyoandika, kumaliza mafunzo na kuonesha cheti chako cha chuo ni tofauti ma kutoa cheri chako muda ukiwa unaendelea na kazi. Yaani nilimaanisha umeajiriwa 2019 halafu cheti unawapelekea ulisoma 2020 na umemaliza 2023 na hapo haujapewa ruhusa.
Ila jaribu tu kila kitu kinawezekana.