Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Kiongozi kiuhalisia nyota moja ya JWTZ si sawa na nyota moja ya Polisi na wenzao wote wa mambo ya ndani, kule Monduli maluteni usu kila mwaka huwa wanaapishwa na President tu, na hajawahi tuma mwakilishi 'kwa niaba yake' ni lazima aende yeye mwenyewe

JWTZ hakuna gazetted officers wote kuanzia Luteni usu hadi Generali huitwa commissioned officers

Anyway labda mapolisi wa humu ndani watuambie hapo kwenye masuala ya protocol, kwamba kwa mfano Luteni usu (nyota moja wa jwtz) na ASP (nyota tatu wa polisi) wakikutana, nani ataanza kudondosha Salute kwa mwenzake

Wapo wanaosema hayo ni majeshi tofauti yenye mifumo tofauti, hivyo haina haja ya kupigiana salute, labda wao wenyewe wa mambo ya ndani ndio vyeo vyao viko sawa ila siyo kwa JWTZ

Lakini as far as i know ni kuwa JWTZ ndio jeshi senior na superior kiprotocol, ndio maana hata kwenye mikutano ya viongozi mfano ikulu au bungeni mpangilio wao wa kukaa mara nyingi huwa anaanza CDF, IGP, DGIS, CGP, CGF then CGI, halafu ndio wanafuata hao wa PCCB na DCEA

Hata kipindi cha Magufuli alitaka aanzishe system ya kuteua general officers wa JWTZ kuwa wakuu wa vyombo vya usalama vya mambo ya ndani, mfano alimteua Suleiman Mzee kuwa CGP Magereza ambaye alikuwa ni Major General cheo cha tatu kutoka juu, na tena hiyo ilihesabika ni kama demotion

Wakati kwa magereza cheo cha tatu kutoka juu ni DCP, so maana yake ni kwamba, Major General wa JWTZ na DCP wa Magereza kiprotocol hawako sawa MG ni mkubwa
Zodwa..

Wewe ni afande hata kama ukibisha uo ndio ukweli.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kiongozi kiuhalisia nyota moja ya JWTZ si sawa na nyota moja ya Polisi na wenzao wote wa mambo ya ndani, kule Monduli maluteni usu kila mwaka huwa wanaapishwa na President tu, na hajawahi tuma mwakilishi 'kwa niaba yake' ni lazima aende yeye mwenyewe

JWTZ hakuna gazetted officers wote kuanzia Luteni usu hadi Generali huitwa commissioned officers

Anyway labda mapolisi wa humu ndani watuambie hapo kwenye masuala ya protocol, kwamba kwa mfano Luteni usu (nyota moja wa jwtz) na ASP (nyota tatu wa polisi) wakikutana, nani ataanza kudondosha Salute kwa mwenzake

Wapo wanaosema hayo ni majeshi tofauti yenye mifumo tofauti, hivyo haina haja ya kupigiana salute, labda wao wenyewe wa mambo ya ndani ndio vyeo vyao viko sawa ila siyo kwa JWTZ

Lakini as far as i know ni kuwa JWTZ ndio jeshi senior na superior kiprotocol, ndio maana hata kwenye mikutano ya viongozi mfano ikulu au bungeni mpangilio wao wa kukaa mara nyingi huwa anaanza CDF, IGP, DGIS, CGP, CGF then CGI, halafu ndio wanafuata hao wa PCCB na DCEA

Hata kipindi cha Magufuli alitaka aanzishe system ya kuteua general officers wa JWTZ kuwa wakuu wa vyombo vya usalama vya mambo ya ndani, mfano alimteua Suleiman Mzee kuwa CGP Magereza ambaye alikuwa ni Major General cheo cha tatu kutoka juu, na tena hiyo ilihesabika ni kama demotion

Wakati kwa magereza cheo cha tatu kutoka juu ni DCP, so maana yake ni kwamba, Major General wa JWTZ na DCP wa Magereza kiprotocol hawako sawa MG ni mkubwa
Yaani ASP ampigie salute First Lieutenant wa JWTZ. Unapotosha hapa ndugu.
Kama upo kwenye vyombo vya ulinzi na usalama basi haujafundishwa vyema. Kama haupo basi ukipata nafasi ya kuingia hata huku PT utafundishwa.

You are very right kuwa maofisa wa jeshi wanakuwa commissioned na Raisi kwa sababu hio ipo kisheria nadhan lakini haifanyi kuwa luteni usu apigiwe salute ASP au SP au SSP or even IP.

Vyeo katika majeshi yote ndan ya Tz vinashabihiana ingawa majina tu ndio yanatofautiana...JW mwenye cheo cha Major, PT ataitwa Superintendent of Police, UT ataitwa Superintendent of Immigration, MT ataitwa Superintendent of Prison...n so on...hawa wote basically wana cheo kimoja ila kwenye majeshi tofauti.

Conclusively; Kiutaratibu Askari yeyote kwa polisi kuanzia A/INS na JWTZ, kuanzia luten usu, kwenda juu wote wanapigiwa salute!!
Ila Nan wa kumpigia mwenzake wakikutana ni suala la cheo Nan anamzidi mwenzake no matter ni Askari wa jeshi gan.

Hivyo jwtz anaweza piga kwa MAGEREZA au polis kwa jwtz au vyovyote vile ila anayepigiwa ni mwenye cheo kikubwa zaidi.
 
Mkuu mbona umeconclude kana kwamba nimesema ASP ndio atapiga salute kwa Lt. II, soma vizuri ile para yangu nimesema mapolisi mje mtuambie kati ya hao nani atapiga salute kwa mwenzake

Okay kwahiyo mkuu unataka kusema kwamba Luteni ni sawa na Inspekta, au kwamba Major General wa JWTZ ni sawa na DCP wa Polisi, au DCP wa Magereza, au DCI wa Uhamiaji, au DCF wa Zimamoto si ndio

Sasa mbona Magereza wamewahi kuwa na CGP mwanajeshi, na tena mwenye cheo cha Major General, hiyo imekaaje
Hilo la Magereza kamuulize Magufuli mkuu kwa nn aliamua kufanya vile na sasa hivi imerekebishwa.

Tusio na vyeo ndio unakuta tunabishana na tutaendelea kubishana tu ila wenyewe wakikutana hawanaga ubishi na wanasalimiana according to vyeo vyao. Hili naliona sana sana labda kama wanakosea
 
Sio kila kitu upo sahihi na hakuna aliye sahihi kwa kila kitu. Ila kwa uelewa zaidi wa kuelewa commissioned officers unaweza pitia vizuri pia PGO, hiyo PF &ASA na Tanzania National Defense Act.

Sheria imemfunga Raisi kutoa kamishen kwa maafisa wa jeshi la JWTZ so katika ratiba yake lazima tu atatafuta nafasi ya kwenda kutunuku kama atatakiwa kufanya hivyo.

Kwa majeshi yetu ya wizara ya mambo ya ndani haipo hivyo.

Lakini maafisa wanapokutana mimi huwa nashuhudia kuwa wanasalimiana kulingana na vyeo vyao.
Raisi kutokuwepo kwenye mafunzo ya nyota moja haimaanishi kuwa basi hawacommission wote. So kwa kuwa Raisi alienda kwenye mahafali ya askari wa uhamiaji na hakwenda CCP basi askari wa uhamiaji wana hadhi kubwa kuliko wengine? Uwepo wa Raisi sehemu fulani huwa determined na ratiba yake ambayo huwa inapangwa mapema kabisa tangu mwaka unaanza unless yeye mwenyewe ndio avunje.

Nyota moja ya polisi kicheo ina hadhi sawa kabisa na nyota moja ya JWTZ. Haiwezi kuondolewa bila Raisi kuridhia.

Mtafute polisi yoyote hata hawa tu waliotoka juzi tu ccp anayejielewa akufundishe kuhusu " salutation" maana wanafundishwa vizur tu.

Am open for any correction.
 
Sio kila kitu upo sahihi na hakuna aliye sahihi kwa kila kitu. Ila kwa uelewa zaidi wa kuelewa commissioned officers unaweza pitia vizuri pia PGO, hiyo PF &ASA na Tanzania National Defense Act.

Sheria imemfunga Raisi kutoa kamishen kwa maafisa wa jeshi la JWTZ so katika ratiba yake lazima tu atatafuta nafasi ya kwenda kutunuku kama atatakiwa kufanya hivyo.

Kwa majeshi yetu ya wizara ya mambo ya ndani haipo hivyo.

Lakini maafisa wanapokutana mimi huwa nashuhudia kuwa wanasalimiana kulingana na vyeo vyao.
Shukrani mkuu. Mimi ninavyowaona wakikutana naona wakipigiana salute kulingana na vyeo vyao ndio maana nimekuwa ninasema hivyo ila hayo masheria au reference ya vifungu honestly sijui
 
Haha eti kamuulize Magufuli daah sawa mkuu

Haya majeshi yana seniority lakini

Yani kumfananisha nyota tatu wa JWTZ na nyota tatu wa PT, UT, MT na ZT tunadanganyana asee
Hahaha sawa mkuu...ila wenyewe wakikutana hawanaga huu ubishi mkuu maana wanajua kuwa sio rahisi kuvipata walivyonavyo mabegani.

Huwa wanasema kama unaona ni rahisi kuipata nyota basi ifate kaichukue angani.😂😂😂


Tupe lonja za UT kwanza mkuu. Pdf inatoka lini ? Hizi habari za salute tuziache
 
Hahaha sawa mkuu...ila wenyewe wakikutana hawanaga huu ubishi mkuu maana wanajua kuwa sio rahisi kuvipata walivyonavyo mabegani.

Huwa wanasema kama unaona ni rahisi kuipata nyota basi ifate kaichukue angani.😂😂😂


Tupe lonja za UT kwanza mkuu. Pdf inatoka lini ? Hizi habari za salute tuziache
Si hata tukiishia uconstable fuleshh tu
 
Hahaha sawa mkuu...ila wenyewe wakikutana hawanaga huu ubishi mkuu maana wanajua kuwa sio rahisi kuvipata walivyonavyo mabegani.

Huwa wanasema kama unaona ni rahisi kuipata nyota basi ifate kaichukue angani.[emoji23][emoji23][emoji23]


Tupe lonja za UT kwanza mkuu. Pdf inatoka lini ? Hizi habari za salute tuziache
Haha mambo ya ndani sina lonja na wala sijaomba mkuu, hata mimi huwa nawasoma tu nyie humu, na mengine tunaelimishana tu
 
Back
Top Bottom