Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Sure kukata tamaaa dhambi Sana mkuuu ....Wana walipiga mujibu wa sheria wakasoma chuo wakarudi kujitolea Kuna op ilitimua wote wenye elimu ya juuu Wana wakarudi home , wote watoto wa wakubwa wastaafu vyombo mifumo inazngua Wana wamepambana moja amekata tamaaa na mwambia always mfwende hiz Mambo swala majira ya Mungu tu yakifika. Hakuna wa kuzia Kuna mwana mzee wake Gen ana mkazia mshikaj ana mwambia aje imeenda ngumu kuzama mwana alikuwa na 27 mshua alisema mwamb age imesogea acheki Mambo mengine yakufanya hiz Mambo Mungu anajua hatima ya mtu iko wapi
Sasa 27 kwa mwenye elimu ya juu si Bado Apo mkuu
 
Sasa 27 kwa mwenye elimu ya juu si Bado Apo mkuu
Mzee wake aligoma kumsaidia jamaaa alimuambia yeye mzeee .....wazeee Wana tofautiana wazee wengine watu wa kupiganisha hata Kama umri umesogea ata piganisha hata kwa kuvunja umbo , yeye mzeee alimtolea nje kabisa kuwa age imeenda mujibu aliwahi pita enzi za form six
 
Mzee wake aligoma kumsaidia jamaaa alimuambia yeye mzeee .....wazeee Wana tofautiana wazee wengine watu wa kupiganisha hata Kama umri umesogea ata piganisha hata kwa kuvunja umbo , yeye mzeee alimtolea nje kabisa kuwa age imeenda mujibu aliwahi pita enzi za form six
27 still bado yupo kwenye range kwenye majeshi mengi tu sema tu alimkqzia.
 
Kiongozi kiuhalisia nyota moja ya JWTZ si sawa na nyota moja ya Polisi na wenzao wote wa mambo ya ndani, kule Monduli maluteni usu kila mwaka huwa wanaapishwa na President tu, na hajawahi tuma mwakilishi 'kwa niaba yake' ni lazima aende yeye mwenyewe

JWTZ hakuna gazetted officers wote kuanzia Luteni usu hadi Generali huitwa commissioned officers

Anyway labda mapolisi wa humu ndani watuambie hapo kwenye masuala ya protocol, kwamba kwa mfano Luteni usu (nyota moja wa jwtz) na ASP (nyota tatu wa polisi) wakikutana, nani ataanza kudondosha Salute kwa mwenzake

Wapo wanaosema hayo ni majeshi tofauti yenye mifumo tofauti, hivyo haina haja ya kupigiana salute, labda wao wenyewe wa mambo ya ndani ndio vyeo vyao viko sawa ila siyo kwa JWTZ

Lakini as far as i know ni kuwa JWTZ ndio jeshi senior na superior kiprotocol, ndio maana hata kwenye mikutano ya viongozi mfano ikulu au bungeni mpangilio wao wa kukaa mara nyingi huwa anaanza CDF, IGP, DGIS, CGP, CGF then CGI, halafu ndio wanafuata hao wa PCCB na DCEA

Hata kipindi cha Magufuli alitaka aanzishe system ya kuteua general officers wa JWTZ kuwa wakuu wa vyombo vya usalama vya mambo ya ndani, mfano alimteua Suleiman Mzee kuwa CGP Magereza ambaye alikuwa ni Major General cheo cha tatu kutoka juu, na tena hiyo ilihesabika ni kama demotion

Wakati kwa magereza cheo cha tatu kutoka juu ni DCP, so maana yake ni kwamba, Major General wa JWTZ na DCP wa Magereza kiprotocol hawako sawa MG ni mkubwa
Uko sahihi sana 100%
 
Sure, sema basi tu mambo ya ndani wameamua kutunisha misuli bila sababu, ila mkubwa ni mkubwa tu
Mi naona ni mgawanyo wa majukumu tu,kila mtu ni senior kwake,kulingana na katiba.
 
Hzo link za juu,uhamiaji walitoa aptitude test kupitia maswali hayo,simple questions& math . civics ikukae kichwani ,immigration act& client service charter ikukae kichwani, na current issues zote nawasilisha. kwa mliofanya usaili mwaka jana mtuambie pia
Mkuu usaili wa intake iliyopita UT walikuja na aptitude test?
 
27 still bado yupo kwenye range kwenye majeshi mengi tu sema tu alimkqzia.
Yes mshua alikaza hata 28-29 Kama mbuyu upo umri mzur wahuni wengine age imegooo kabisa bas Afande hakutaka ku push Hilo swala.
 
Raisi kutokuwepo kwenye mafunzo ya nyota moja haimaanishi kuwa basi hawacommission wote. So kwa kuwa Raisi alienda kwenye mahafali ya askari wa uhamiaji na hakwenda CCP basi askari wa uhamiaji wana hadhi kubwa kuliko wengine? Uwepo wa Raisi sehemu fulani huwa determined na ratiba yake ambayo huwa inapangwa mapema kabisa tangu mwaka unaanza unless yeye mwenyewe ndio avunje.

Nyota moja ya polisi kicheo ina hadhi sawa kabisa na nyota moja ya JWTZ. Haiwezi kuondolewa bila Raisi kuridhia.

Mtafute polisi yoyote hata hawa tu waliotoka juzi tu ccp anayejielewa akufundishe kuhusu " salutation" maana wanafundishwa vizur tu.

Am open for any correction.
JW ni tofauti na PT hata mchakato wa kuajiri JW uwa hawatangazi lkn PT Wanatangaza kingine JW kamisheni Ofisa wao lazima wavishwe nyota na raisi yani iyo ni lazima hatumi muwakilishi...
 
Mkuu hata kama anaweza ila Jeshi siyo Bashiru wala Assad, afanye hivyo aone reaction yake, yani hapa suala siyo anaweza au hawezi suala ni akifanya hivyo Matokeo yake nini ajaribu tu
Hivi Diwani Athumani aliyekua DG wa TISS,alikua ahusiki na JW,au JW wao wana usalama wao na mkuu wao wa usalama?
 
Dah ! JWTZ wasitufanyie ukatili wazalendo wa kitaa bana waturushie taulo tuingie humo kama majeshi mengine wanavyofanya ,waache mambo ya ajabu
Labda watake watu wa fani mkuu lkn hv hv madogo wamejaa kambi za jkt kibao
 
Mzee wake aligoma kumsaidia jamaaa alimuambia yeye mzeee .....wazeee Wana tofautiana wazee wengine watu wa kupiganisha hata Kama umri umesogea ata piganisha hata kwa kuvunja umbo , yeye mzeee alimtolea nje kabisa kuwa age imeenda mujibu aliwahi pita enzi za form six
Labda Kama hataki t aingie hukom.ila kwa wenye bachelor majeshi yote yanachkua Hadi 30
 
Back
Top Bottom