Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Mimi nitatoa Tu General Experience na pia nitagusia Kada ya IT kwasababu Mimi pia ni IT.

Mwaka Juzi nilishiriki Usahili Hapo Barracks Kurasini, I mean intake waliomaliza hivi Karibuni CCP Moshi tulikuwa nao kwenye Usahili.

Kwa Idadi Degree Wotee Tulikuwa Kama 600+ hivi Ila upande wa IT kama 200+ Diploma na Cheti Hawakuwa Wengi Sanaa.

Kozi ambazo walipita kirahisi kwakuwa Hawakuwa Wengi Yaan nafasi zinazohitajika ni nyingii Watu Wachache ni ushonaji,udereva,na uimbaji.
Unapoenda Pale inatakiwa uwe full uende na Vyeti Vyako vyote halisia sio kopi na pia wanacheki ukakamavu wa mwili ni kama kwata flani hivi wanaangalia unavyopiga(hiyo ni Kwa Mtu mmoja moja) andaa pia hela ya vipimo sijajua Kwa mwaka Huu kama hiyo hela itakuwepo au lah ni buku 5 nadhani. Wanapima sanasana Macho, wanachukua na Damu(ukimwi na magonjwa mengine) pia lkn kuangalia kama ni Mwanaume Kamili au mwanamke Kamili. Na pia wanawapima urefuu kila MTU kujua urefuu wako ni futi Ngapi.
Upande wa Usahili Maswali wanauliza kulingana na Kada Yako na ni marahisi Sana hasa maswali ya oral Yako too general.

Mimi nilikuwa IT Lkn Usahili sikufanya wa IT Ile full hapana, walitukata vibangala pale nikawekwa upande wa forensic bureau Pale Pale Yan ilikuwa ni mtihani kidogo lkn walituelewesha tukaelewa (ingawa sio wote watu Wengine walikuwa ni wabishi Sana), kwahiyo hiyo forensic bureau walituchanganya coz zote za science hivyo oral ikawa ni moja(maswali ya oral huwa hayatabiriki Sana lkn ni too general labda unaweza kuulizwa kirefu cha Polisi au taja ma IGP baada ya Uhuru au utaje ranks za polisi au mission and vision ya Polisi Na maswali ni Kwa Kiingireza kama Kawaida kujieleza Kwa Kifupi swali la lazima kila MTU aliulizwa) lkn written ni Tofauti kulingana na Kada Yako Kwa Mfano Mimi IT nilipiga written ya IT, Mimi napiga Sana Mambo ya network kwahiyo walituclassify IT upande gani kama ni programming, network au database it's depends.
NB: Na walituclassify kila forensic bureau na kozi yake Kutokana Na malalamiko ya Baadhi ya Watu kuwa itakuwaje sasa Usahili wa kitu kigeni ambacho hujasomea afu Ndo wanakusahili ndo wakaamua Hivyo, ingawa Baadhi ya maaskari wakatuona tumezingua kwa kuwa hiyo ilikuwa ni Bonge La feva Kwetu wangetubebabeba Kwa kuwa ni kitu kipya Kwetu wengi hatujasomea.

Sasa nakumbuka pepa ya network ya written ilikuwa na kama maswali 50 na mengi ni ya kuchagua ya kujieleza Yalikuwa hayazidi matano na Maswali Mengi Sanaa waliyatoa kwenye Kitabu cha CCNA by Toddy Lammle hicho Kitabu kina maswali na Majibu yotee ya network. Ila Sisi watu wa forensic hatukufanya practical lkn watu wa IT walifanya ilikuwa ni Kawaida Sanaa masuala ya kusubnet na Nini Yani kama MTU umejiandaa Vizuri Usahili unatusua Vizuri Sanaa.

Trust me kwenye haya mapambano kila mmoja ana Siri yake ya Namna gani atapata hizi nafasi, unachokiamini Hicho hicho kishikirie usikiache Kama Ni Mungu, Au Mganga, Au Mbuyu kikubwa ni Kupambana Tuu ingawa Yotee juu ya yote Bado Mungu Ndo Kila Kitu.. Wapo Ambao Wametoboa Kwenye Ule Usahili Hawakuwa na Mbanga Wowote Ule. na nilichokiona watu wa degree competition Ni KUBWA Sanaa Usahili tulioitwa 600+ waliochaguliwa ni 70+, form four waliochaguliwa walikuwa ni Wengi Sanaa 1000+ huenda mwaka Huu degree wakaongeza Nafasi.

Tuzidi Kuombeana Wakuu Tusikate Tamaa Mungu Ni Wetu Sote.Hivyo Tu Wakuu Nisiwachoshe Sana..
Kuna watu wa thietrical art and performance wanatakiwa msela angu anayo hiyo cozi alifelj mwaka Jana ametest mwaka hu Tena asubiri.
 
Ninao wajua wameomba education mimi kama mimi wapo sita nisiyowajua wapo wangapi?
Education watu ni wengi Sana mtaani..walimu ni wako wengi aisee..awamu iliyopita kutoajiri walimu kwa miaka yote ile mi tano ndo kulijaza walimu mtaani Sana..fkiria kwa mwaka Wana graduate walimu mpaka 30000..then ajira zikawa hazitoki miaka mitano,..hata ukiangalia kwenye ajira za walimu wanaomba watu mpaka laki 1 kwa sasa
 
Education watu ni wengi Sana mtaani..walimu ni wako wengi aisee..awamu iliyopita kutoajiri walimu kwa miaka yote ile mi tano ndo kulijaza walimu mtaani Sana..fkiria kwa mwaka Wana graduate walimu mpaka 30000..then ajira zikawa hazitoki miaka mitano,..hata ukiangalia kwenye ajira za walimu wanaomba watu mpaka laki 1 kwa sasa
Sema hii nchi ngumu sana
 
Education watu ni wengi Sana mtaani..walimu ni wako wengi aisee..awamu iliyopita kutoajiri walimu kwa miaka yote ile mi tano ndo kulijaza walimu mtaani Sana..fkiria kwa mwaka Wana graduate walimu mpaka 30000..then ajira zikawa hazitoki miaka mitano,..hata ukiangalia kwenye ajira za walimu wanaomba watu mpaka laki 1 kwa sasa
Education msiba ...mwana alienda mujibu akapata chance akazingua akataka kusoma kwanza degree amemaliza kasota ajari za walimu Hakuna kupata , muda ajir za majeshi amepambana nazo hakuna kitu awamu hiii ameomba tena anaskilzia upepo ana regrate six alipozingua wakat Nika mwambia ungerud kujitolea Hiko kitu haraka kuskia ana komaa na Chet Cha mujibu Mungu nae amkumbuke msela
 
Sema hii nchi ngumu san
Education msiba ...mwana alienda mujibu akapata chance akazingua akataka kusoma kwanza degree amemaliza kasota ajari za walimu Hakuna kupata , muda ajir za majeshi amepambana nazo hakuna kitu awamu hiii ameomba tena anaskilzia upepo ana regrate six alipozingua wakat Nika mwambia ungerud kujitolea Hiko kitu haraka kuskia ana komaa na Chet Cha mujibu Mungu nae amkumbuke msela
Dah acha t mwanngu..ukiangalia age nayo inazidi kukimbia,inazidi pagawa..lyf la bongo uspokua na stamala unadata fresh kabisa unaokota kopo
 
Degrii ya Sanaa hiyo. Polisi waliorodhesha vijana waombe. Kuna mwanangu anayo but hakufanikiwa mwaka Jana. Na mwaka huu pia imekuja kaomba Tena but kwasasa katoboa mkatab.
Yaitwa performing arts kweny kiambatisho
Kuna baadhi ya fani watachukuliwa ushindani hautakuwa mkubwa hasa levels za chini
 
Back
Top Bottom