MLEVi Mmoja
JF-Expert Member
- Jun 29, 2019
- 8,514
- 15,050
Vijana wale kwa urefu ya kamba yaoNarudia tena hafai Kama yeye anafikiria kupata kazi kwa ajili ya kuja kudhulumu haki za watu hafai narudia tena hafai na mapenzi ya Mungu yatimizwe asitafute kazi kwa mawazo ya kuja kudhulumu haki za watu kula rushwa hafai
Wakinikamata mtaani kama nimekaa kiboya wanichomoe pesa .
Vijana mkituonea huruma sisi raia sio kwamba sisi ndio tutawaonea huruma na nyinyi
Mkipata nafasi itumie