Mack david
Member
- Jan 30, 2021
- 20
- 30
Wale watu wa forest gurd mambo ni moto
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Safi sana hiyo sikukuu wanalia kwenye jarambana millitary science wanaenda kuripoti kesho msata
Mkuu hv military science huwaga wanapiga kozi pamoja na wale wa kawaida au tofautina millitary science wanaenda kuripoti kesho msata
huwa ni tofautiMkuu hv military science huwaga wanapiga kozi pamoja na wale wa kawaida au tofauti
Kwa hyo bodi la kawaida itakua mpk hawa military science wamalize au mi nimeelewa vibayahuwa ni tofauti
mnaweza mkawa wote pale mnapiga kozinlakini ni kozi mbili tofauti kila watu kivyaoKwa hyo bodi la kawaida itakua mpk hawa military science wamalize au mi nimeelewa vibaya
Ahaa sawa kakamnaweza mkawa wote pale mnapiga kozinlakini ni kozi mbili tofauti kila watu kivyao
ivi mkuu kwenda mission ni lazima?? Maana hizi ambush Wana wanapotea sana kwa kupigwa chuma huko mipakani na kutuliza amani huko nchi nyinginemnaweza mkawa wote pale mnapiga kozinlakini ni kozi mbili tofauti kila watu kivyao
Special course huwa ni wale wanaotoka moja wa moja kitaani, ndo wengine wanachomekewa humo ila hawa wa Military science siku hizi wanaunganishwa tu wotee tu Ingawa majeshi hayakalilikimnaweza mkawa wote pale mnapiga kozinlakini ni kozi mbili tofauti kila watu kivyao
Wanasema ops za nje tofauti na sifa husika na muundo ukikukubali unaenda, ila siku hizi watu wanapiganisha tu kwa Umalaya wa pesa za UN. Hizi ops za ndani ni kama majukumu tu ya kila sikuivi mkuu kwenda mission ni lazima?? Maana hizi ambush Wana wanapotea sana kwa kupigwa chuma huko mipakani na kutuliza amani huko nchi nyingine
Nasikia watu wanapiganisha hatari waende zao mission huko nje wakale mpunga wa UNWanasema ops za nje tofauti na sifa husika na muundo ukikukubali unaeda, ila siku hizi watu wanapiganisha tu kwa Umalaya wa pesa na UN. Hizi ops za ndani ni kama majukumu tu ya kila siku
Pesa hazijawahi kutosha., Kifo kinifate sio mimi nikifate aiseNasikia watu wanapiganisha hatari waende zao mission huko nje wakale mpunga wa UN
Kwaiyo mkuu wewe huendi kabisaPesa hazijawahi kutosha., Kifo kinifate sio mimi nikifate aise
Mi sipo huko ila nilivyokua naikubali 92 ningepata nafasi kubwa ya kwendaKwaiyo mkuu wewe huendi kabisa
***** hapa ugumu wa majeshi aseeee ishu za kula chuma aseeeeivi mkuu kwenda mission ni lazima?? Maana hizi ambush Wana wanapotea sana kwa kupigwa chuma huko mipakani na kutuliza amani huko nchi nyingine
Ndo maana ya kula kiapo hiyo***** hapa ugumu wa majeshi aseeee ishu za kula chuma aseeee
50 hadi 80 vyumba vizuri sana unapataMku@Xmonster chumba tanga mjini master napata kwa bei gani ?
Wana watu wao hao wanadanganya vijana tu.Tupo tuliotuma maombi ya forest gurd mwezi wa 8 mpaka leo kimya upande wa mwanza tfs na Dodoma na kibaha sector ya mali asili ni changamoto kuita watu usahili inaenda miezi minne na bado kimya