Nafasi za kazi truck drivers Lithuania

Nafasi za kazi truck drivers Lithuania

Mleta uzi unaujuaji na ulimbukeni yamkini wanaofuatilia uzi huu wanajiuliza maswali ya msingi kabisa ambayo yampasa binadamu yoyote aliye na akili timamu kujiuliza. Mosi mtu yoyote aliye timamu lazima ajiulize, Kwanini tangazo lako halijajitosheleza???Pili Umekuwa unashambulia watanzania vile watanzania hivi eti watanzania waoga wa fursa,,,,ww na kukaa kwako ughaibuni ila bado unaushamba ama tuite bado unatongotongo. Hivi mm nitoke napotoka niende Masaki alafu nikifika Masaki???? Hv wewe unafikiri watu wote waliohumu ni wakuja au JF inatumiwa na watu wa mikoani yakwamba hawafahamu Masaki ni wapi????Hv mtu gani aliyetimilifu mathalani anakwambia njoo Masaki na hataji hata jengo lilipo ofisi yake au jina la ofisi. Mtu atakayekutafuta ww ni mjinga wa daraja la juu kabisa asiyekuwa na ufikirio mzuri.

Bwana mdogo ebu rudi upya ukadrafti Tangazo au uombe sekretari wa hapo mnapoita ofisini kwenu akusaidie kuchapa Tangazo lifananie angalau Umasakimaski au mtu anayefanya kazi na wazungu. Yamkini napata wasiwasi hao wazungu unawasiliana nao vipi , wewe namna gani bwana wewe.

Mpaka hapo ww bado upo kundi la matapeli!!!!!!🤔🤔🤔🤔🤗🤗Rekebisha Tangazo lasivyo utapata wakuja tu ila wajanja wa mjini tunakwambia rudia bado hujatushawishi🤝
 
Naitamani sana hiyo nchi Mkuu.

Ukipata muda naomba ushee namna gani naweza fika pande hizo ase.

Kwa sasa nipo North Afrika, nimejaribu nielekee Ulaya naona pagumu.
Usihofu mkuu tanguliza Mungu kwanza yote yawezekana
 
barua kutoka kampuni ya recruitment tuliyo na ubia nayo ni hiyo labda kama unaswala lingine karibu ofisini uelimishwe.
Hii primeoneglobal.com mbona haipo?!! barua mnatumiwa kwa mfumo wa Word document??!! kuna harufu ya utapeli hapa, kuweni na huruma na vijana wenzenu
 
Mleta uzi unaujuaji na ulimbukeni yamkini wanaofuatilia uzi huu wanajiuliza maswali ya msingi kabisa ambayo yampasa binadamu yoyote aliye na akili timamu kujiuliza. Mosi mtu yoyote aliye timamu lazima ajiulize, Kwanini tangazo lako halijajitosheleza???Pili Umekuwa unashambulia watanzania vile watanzania hivi eti watanzania waoga wa fursa,,,,ww na kukaa kwako ughaibuni ila bado unaushamba ama tuite bado unatongotongo. Hivi mm nitoke napotoka niende Masaki alafu nikifika Masaki???? Hv wewe unafikiri watu wote waliohumu ni wakuja au JF inatumiwa na watu wa mikoani yakwamba hawafahamu Masaki ni wapi????Hv mtu gani aliyetimilifu mathalani anakwambia njoo Masaki na hataji hata jengo lilipo ofisi yake au jina la ofisi. Mtu atakayekutafuta ww ni mjinga wa daraja la juu kabisa asiyekuwa na ufikirio mzuri.

Bwana mdogo ebu rudi upya ukadrafti Tangazo au uombe sekretari wa hapo mnapoita ofisini kwenu akusaidie kuchapa Tangazo lifananie angalau Umasakimaski au mtu anayefanya kazi na wazungu. Yamkini napata wasiwasi hao wazungu unawasiliana nao vipi , wewe namna gani bwana wewe.

Mpaka hapo ww bado upo kundi la matapeli!!!!!!🤔🤔🤔🤔🤗🤗Rekebisha Tangazo lasivyo utapata wakuja tu ila wajanja wa mjini tunakwambia rudia bado hujatushawishi🤝
Msasani towers ukifika uliza follo group karibu
 
Back
Top Bottom