Nafasi za kazi Wizara ya Kilimo hizi hapa

Nafasi za kazi Wizara ya Kilimo hizi hapa

Hizo zote zitaambatana pamoja na za TRA,MDAs&LGAs na ASA&TARI ni kuwa wavuamilivu na kuhutumia huu muda kwa maandalizi bora.
Utumishi walivyo na roho mbaya watapanga usahili wa post zote muda mmoja ili kupunguzia watu wigo wa risk. Maana kuna walioomba post zote
 
Mimi niliomba za ASA.. ?.. kama umeombea hzo tu aweza peana maswali regardless ni Diploma au degree maana maswali ya kada moja kama hzo yanafanana tu hamna level
Mimi nliomba za TARI na NIRC
Mimi niliomba za ASA.. ?.. kama umeombea hzo tu aweza peana maswali regardless ni Diploma au degree maana maswali ya kada moja kama hzo yanafanana tu hamna level
Mkuu watu wa ASA tayar majina yao yapo kule katika website ya utumishi
 
Back
Top Bottom