Nafasi za kazi Wizara ya Kilimo hizi hapa

Nafasi za kazi Wizara ya Kilimo hizi hapa

Tume ya taifa ya umwagiliaji (NIRC) chini ya wizara ya kilimo wamekuwa kimya sana yapata mwezi wa tano sasa, hawajaita watu katika usaili.
Kuanzia irrigation engineers, civil engineers, agricultural officer, mechanical engineer na technician(irrigation).

Au tayari zimeshatiwa kapuni??
 
Tume ya taifa ya umwagiliaji (NIRC) chini ya wizara ya kilimo wamekuwa kimya sana yapata mwezi wa tano sasa, hawajaita watu katika usaili.
Kuanzia irrigation engineers, civil engineers, agricultural officer, mechanical engineer na technician(irrigation).

Au tayari zimeshatiwa kapuni??
Hizi bado mkuu tunaziwait
 
Tume ya taifa ya umwagiliaji (NIRC) chini ya wizara ya kilimo wamekuwa kimya sana yapata mwezi wa tano sasa, hawajaita watu katika usaili.
Kuanzia irrigation engineers, civil engineers, agricultural officer, mechanical engineer na technician(irrigation).

Au tayari zimeshatiwa kapuni??
Hzo zote zitatoka pamojah ziko chini ya Wizara ya kilimo..
Mkuu we uliomba ipi hapo..?
 
Hivi hawa wizara ya kilimo wataita lini?

Kitaani kugumu mamaeee daaah tujue moja.
 
Back
Top Bottom