Balozi limited
JF-Expert Member
- Jun 6, 2022
- 989
- 2,565
Kuna hizi anbazo tuko na received tupeni madesa za wizara ya kilimo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Post gani unataka ww..?Kuna hizi anbazo tuko na received tupeni madesa za wizara ya kilimo
Kwani zimetoka tena wizara ya kilimoPost gani unataka ww..?
Zilikuwa za agriculture officer ziko received, nadhan soon tu kuna kuitwa madesa yatembeePost gani unataka ww..?
Zile za june cjui july, ziko receivedKwani zimetoka tena wizara ya kilimo
Zile za ASA ulifanya pia..?Zilikuwa za agriculture officer ziko received, nadhan soon tu kuna kuitwa madesa yatembee
Sijakupata kamanda. Maana ya kua received hapo. Deadline si tayari. Nieleweshe kidogoZile za june cjui july, ziko received
Nilifanya boss,Zile za ASA ulifanya pia..?
Yeah deadline tayari mkuu, ziko tu received hatujawa shortlisted tunasubir madn ya usaili humuSijakupata kamanda. Maana ya kua received hapo. Deadline si tayari. Nieleweshe kidogo
Zilikuwa za moto sanaZile za ASA ulifanya pia..?
Hahaah, walikulamba Kichwa mkuu 😂😂Zilikuwa za moto sana
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Marketing yeah walinilamba kichwaHahaah, walikulamba Kichwa mkuu [emoji23][emoji23]
Haya mkuu,, Subiri hizo received za Wizara ya kilimo ukawapelekee moto[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Marketing yeah walinilamba kichwa
Sure kk, ila sijajua nipitie nn[emoji3][emoji3]Haya mkuu,, Subiri hizo received za Wizara ya kilimo ukawapelekee moto
Hizi bado mkuu tunaziwaitTume ya taifa ya umwagiliaji (NIRC) chini ya wizara ya kilimo wamekuwa kimya sana yapata mwezi wa tano sasa, hawajaita watu katika usaili.
Kuanzia irrigation engineers, civil engineers, agricultural officer, mechanical engineer na technician(irrigation).
Au tayari zimeshatiwa kapuni??
Hzo zote zitatoka pamojah ziko chini ya Wizara ya kilimo..Tume ya taifa ya umwagiliaji (NIRC) chini ya wizara ya kilimo wamekuwa kimya sana yapata mwezi wa tano sasa, hawajaita watu katika usaili.
Kuanzia irrigation engineers, civil engineers, agricultural officer, mechanical engineer na technician(irrigation).
Au tayari zimeshatiwa kapuni??
Mkuu mbona tangazo kwangu halifunguki? Pdf gani hii haifunguki?Mkuu SHOMBE la Kisomali, uwanja wako wa nyumbani huu sasa.ushindwe mwenyewe kujidai
Agricultural engineer II- CIVIL(58POSTS) ndio nlizoombaHzo zote zitatoka pamojah ziko chini ya Wizara ya kilimo..
Mkuu we uliomba ipi hapo..?