Eli Cohen
JF-Expert Member
- Jun 19, 2023
- 4,460
- 13,715
GEOGRAPHICALLY
North Korea atamvamia South Korea ili kutengeneza Korea ya Mamlaka yao
China itazichukua Taiwan na Hong Kong kwa asilimia 100.
Russia atamchukua Ukraine, Georgia na vinchi vidogo vidogo vya ulaya vile ambavyo vilikuwa chini ya USSR.
Iran atamtoa muisrael huku akitengeneza nchi ya uongo ya palestina angali yeye ndio atakuwa anapaongoza.
Iran atafadhiri vikundi vya militia katika nchi za Kiarabu zilizoachana na itikadi kali ( mfano UAE) ili vipambane kuondoa mamlaka za nchi hizo
Ongezeko kuu la wahamiaji kuingia europe kiholela ila kuinfluence na kuua ideology ya magharibi
POLITICALLY
Ongezeko la mapinduzi ya kijeshi katika nchi za kiafrika na kupatikana viongozi dikteta wataokuwa chini ya support ya China na Russia
NATO na G7 itakupungua nguvu huku nchi nyingine zikikimbia muungano huo kwa kuhofia kuwa attacked na Russia.
Nchi zilizokuwq vugu vugu katika mahusiano na itakadi zitahamia upande wa Urusi na China kwa maana chini ya Marekani walipata uhuru wa kuamua namna ya kua.
IDEOLOGICALLY
Nina uhakika asilimia 100 kutatokea holocaust nyingine kwa wayahudi.
Iran itapush nchi nyingi ziruhusu sharia laws
Russia na Iran itakikisha Itikadi na utamaduni wa west unafifia huku namna yao ya maisha ndio iwe promoted.
Wakristo watanyanyaswa sana katika nchi za Kiarabu ambazo zitakazo kuwa rafiki mkuu wa China na Iran.
ECONOMICALLY
Kwa maana soko litakuwa litakuwa chini ya influence ya China, itaifanya china kuimarika maradufu.
Russia atachukua nafasi ya USA kama muuza silaha mkuu maana nchi zilizofanya mapinduzi zitakuwa zina urafiki nae.
Ushikaji mkuu wa soko la mafuta utakuwa wa Iran.
Iran
Kwa maana miradi mingi itakuwa chini ya wachina, watu wengi watakuwa under paid and under appreciated
Sio vibaya ukaongozea nyama na wewe
North Korea atamvamia South Korea ili kutengeneza Korea ya Mamlaka yao
China itazichukua Taiwan na Hong Kong kwa asilimia 100.
Russia atamchukua Ukraine, Georgia na vinchi vidogo vidogo vya ulaya vile ambavyo vilikuwa chini ya USSR.
Iran atamtoa muisrael huku akitengeneza nchi ya uongo ya palestina angali yeye ndio atakuwa anapaongoza.
Iran atafadhiri vikundi vya militia katika nchi za Kiarabu zilizoachana na itikadi kali ( mfano UAE) ili vipambane kuondoa mamlaka za nchi hizo
Ongezeko kuu la wahamiaji kuingia europe kiholela ila kuinfluence na kuua ideology ya magharibi
POLITICALLY
Ongezeko la mapinduzi ya kijeshi katika nchi za kiafrika na kupatikana viongozi dikteta wataokuwa chini ya support ya China na Russia
NATO na G7 itakupungua nguvu huku nchi nyingine zikikimbia muungano huo kwa kuhofia kuwa attacked na Russia.
Nchi zilizokuwq vugu vugu katika mahusiano na itakadi zitahamia upande wa Urusi na China kwa maana chini ya Marekani walipata uhuru wa kuamua namna ya kua.
IDEOLOGICALLY
Nina uhakika asilimia 100 kutatokea holocaust nyingine kwa wayahudi.
Iran itapush nchi nyingi ziruhusu sharia laws
Russia na Iran itakikisha Itikadi na utamaduni wa west unafifia huku namna yao ya maisha ndio iwe promoted.
Wakristo watanyanyaswa sana katika nchi za Kiarabu ambazo zitakazo kuwa rafiki mkuu wa China na Iran.
ECONOMICALLY
Kwa maana soko litakuwa litakuwa chini ya influence ya China, itaifanya china kuimarika maradufu.
Russia atachukua nafasi ya USA kama muuza silaha mkuu maana nchi zilizofanya mapinduzi zitakuwa zina urafiki nae.
Ushikaji mkuu wa soko la mafuta utakuwa wa Iran.
Iran
Kwa maana miradi mingi itakuwa chini ya wachina, watu wengi watakuwa under paid and under appreciated
Sio vibaya ukaongozea nyama na wewe