Nafikiri Israel Itapotezea kulipa Kisasi kwa Iran mpaka imalizane na Hizbola kwanza. Iran itawekwa kiporo kama Hizbola wakati wanashambulia Hamas

Yesu anakuja nilikuambia wewe ni weupe ukabisha ona sasa 😁😁😁
 
Israel hawezi chochote zaidi ya kuisubiri US baba yake afanye nini...

Kibaya ni kwamba US wapo makini na hawafanyi vitu kwa mihemko, jamaa hawafanyi vitu kwa emotions, wanatumia akili na kupiga mahesabu ya hasara na faida.
West wakubali tu ile hegemony inakarobia mwisho .ile hali ya kuwa ww ndo mmilkk wa kila kitu umeshaapilotwa na wakati
 
Mtu anakupiga mbele ya mke wako mbele ya watoto afu nguvu unazo si uzitumie kama una nguvu kausha Acha domo kule UN kachongaa afu kutwa kuuwa watoto wamama pigana sasa na kidume chenzio Mala hoh utaona unaongea uku unaondoka atakuku kwaili angepigana sisi tunataka tuone nani m'babe nani mwenye technology kubwa y kijesh duniani maneno yamekuwa mengi ohh Iran anawekwa kwemwe mfumo ajae sasa kashajaa yupo tayali filimbi napiga mimi piiiiiiiiiiii aya jibu naww taifa teule 😆😆😆😆
 
Iran imepeleka moto Israel majibu yake itakuwa ya viwango vya juu sana,kwa sasa kwa anakusanya taarifa mataifa yale yenye makundi mengine ili atakapoingia iran hataipiga pekee yake maana kuna ngome zipo nje ya Iran ambazo ni zake.
 
Iran imepeleka moto Israel majibu yake itakuwa ya viwango vya juu sana,kwa sasa kwa anakusanya taarifa mataifa yale yenye makundi mengine ili atakapoingia iran hataipiga pekee yake maana kuna ngome zipo nje ya Iran ambazo ni zake.
ngome iliyobaki ni Yemen peke yake kwa Iran, hezbollah pale wanaachia mgambo tu wa kurusha drones. huthi nao, baada ya bandari na kituo cha mafuta kupigwa juzi, wanaishi kama waporipori, maisha yameshaanza kuwa magumu, na wale ni wala mirungi na bange kama wangekuwa na uwezo mkubwa kuliko ule walionao wangeshaifuta israel zamani sana. hapo walipo ndio kiwango cha ukubwa wa uwezo wao.
 
Wasubirie kifil Chao ,Ngoja tumalizie bao kadhaa hezibolla

Kisha zamu Yao ifuate
 
Mweupe kwenye issues za mashariki ya kati mkuu wangu😆😆
toa hoja, usitoa tuhuma peke yake. ni kitu gani unachokipinga hadi uniite mweupe, ukilinganisha na kile ulicho nacho wewe. otherwise utajulikana hauna uwezo wa uelewa. karibu.
 
toa hoja, usitoa tuhuma peke yake. ni kitu gani unachokipinga hadi uniite mweupe, ukilinganisha na kile ulicho nacho wewe. otherwise utajulikana hauna uwezo wa uelewa.
Una hisia za kidini mkuu ,jitahidi uwe kawaida kwanza halafu tujadili🤔
 
Hizi ni propaganda za zamani, Israel bila backup ya Marekani hawezi battle na USA wanauchaguzi wao huko hapa ndio wakati sasa kumpelekea moto mjini kwake na hii ndio itafanya ajifunze dhiki, taabu na hofu anazowapa wenzie na wamezoea yeye ndio anaumia zaidi sababu anajiona mkubwa na watu wanasimama nae katika battle.
Iran na Waarabu walitakiwa kuchukua hatua hii kitambo, mlitaka aue wapelestina wangapi ndio aadhibiwe mpaka UN anawaona mahanithi tu
 
Hata Mimi ningekuwa shabiki wa magaidi ningejifariji hivi hivi
 
Kwa hiyo Israel ikivamiwa na magaidi itulie kimya sio ?
Kama ile October 7
 
Mkuu kwa Sasa ni vema akamaliza lengo moja la kuifuta hezbola kwanza

Avumilie tu vibao vya Iran kwa Muda havina Sana madhara 😀😀😀
 
Siku ya kwanza wanajeshi zaidi ya 14 wa Kizayuni wameliwa vichwa na Hezbollah tena hapo walivuka mpaka kwa mita 400 pekee na wamerudi nyuma kujitafakari.

Halafu uzungumzie mbabe wa Mashariki ya Kati Iran? Kulipiza kisasi tu wanakaa vikao kibao hawafikii mwafaka bwana wao Marekani anawasanua wasijaribu kukurupuka watafutika kweli kwenye ramani ya ulimwengu.
 
Naona ni vizuri wampe Iran Muda mkuu wamalizane na Hizbolah kwanza
Maana ground war sio mchezo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…