Nafikiri Israel Itapotezea kulipa Kisasi kwa Iran mpaka imalizane na Hizbola kwanza. Iran itawekwa kiporo kama Hizbola wakati wanashambulia Hamas

Israel hawezi chochote zaidi ya kuisubiri US baba yake afanye nini...

Kibaya ni kwamba US wapo makini na hawafanyi vitu kwa mihemko, jamaa hawafanyi vitu kwa emotions, wanatumia akili na kupiga mahesabu ya hasara na faida.
Mbali na hivyo labda tumuulize mleta mada; kwa Yemen walisubiri mpaka wamalizane na Hizbullah kwanza?

Kwa sababu juzi kalipua huko Yemen..
 
Missiles zimetoka Iran, Halafu yeye (Israel)anaenda Lebanon.... ,[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38],,, Hii inaonyesha wazi kuwa Israel anaogopa kupiga direct kule Tehran
Vita ni mahesabu Iran atawekwa kiporo amalizane na hizbola kwanza
 
Iran ana dharau sana aise. Yaani juzi Netanyahu anaichimba mkwara bubu Iran halafu kabla mate hayajakauka jana akashushiwa mvua ya makombora sebuleni kabisa na amepiga kimya so far.

Ingekuwa ni Syria ndio ameishambulia Israel mbona ndani ya masaa mawili tu kingelipwa kisasi lakini kwakuwa ni giant la Middle East limemuadabisha hama option zaidi ya kupata muda wa kuwauliza mabwana zake USA na Ulaya kama kuna uwezekano wa kujibu ama lah.
 
Ndo vizuri amalize magaidi wa Iran mahzibola
Ila apate muda wa kutosha kumshughulikia Iran
 
Hiki ni kiswahili au kiarabu mkuu duh !!!
 
Mkuu, Adui hakosi sababu,
kinachoifanya Israel isitesite kumshambulia adui yake ni hofu inayosababishwa na nguvu,uwezo na ujasiri alionao adui husika.
 
Vita ya Ground ni ngumu mkuu
Na ni kawaida
Kule ni vitani sio harusini
Askari kufa ni kawaida
Ila MWISHO ndo unaamua na mshindi
 
Mbali na hivyo labda tumuulize mleta mada; kwa Yemen walisubiri mpaka wamalizane na Hizbullah kwanza?

Kwa sababu juzi kalipua huko Yemen..
Yemen pia anatulizwa tu mkuu
Wasimtoe kwenye lengo
Siku Israel akiamua kushambulia Houth anaweza kudondosha makombora ya kutosha
 
Madhara yake vipi
 
Mkuu, Adui hakosi sababu,
kinachoifanya Israel isitesite kumshambulia adui yake ni hofu inayosababishwa na nguvu,uwezo na ujasiri alionao adui husika.
Ni kweli Iran ana nguvu Sana Ila ikifika zamu yake atapigwa tu
 
Huo ni woga wenu waafrika, ngozi nyeupe hawana hizo ukizingua watu wanalianzisha tu mkuu, kwaiyo ulitaka Iran akae kimya kila siku watu wake wanauwawa!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…