Nafikiri kijana anayejenga katika usawa huu anatakiwa apewe heshima yake

Kule hali ya hewa safi kama kwa madiba tu, utulivu mwingi.....pale barabara ikikamilika hapatashkika wala ardhi haitagusika kule
 
Mume ni unkwepable thing. Hiyo nyumba yako haikamiliki bila mume mzuri na watoto wazuri. Kakiingia kagiza unazagamuliwa unalala hoi.
Mkuu ulikuepo kipindi cha watumwa? Mbn una mentality za kizamani....mi naona mwanamke awe na kwake na mm niwe na kwangu tukutane for purpose Yale maisha ya kuhemeana kila siku yashapitwa na wakati
 
Mkuu JF watu wanabadilika kulingana na mada husika๐Ÿ˜ƒ
 
Mume ni unkwepable thing. Hiyo nyumba yako haikamiliki bila mume mzuri na watoto wazuri. Kakiingia kagiza unazagamuliwa unalala hoi.
Nilijua tu utasema mume ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ

Wanaume wenyewe ndio wale wa jana wabishi kusugua โ€ฆโ€ฆโ€ฆ!!? Kitu kidogo anataka ushauri jf.!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ