Ndjo maana hatutakiwi kuoa mwanamke anayeishi nje ya wazazi wake ajili ya hii. Mnaona sasaAhsante, kujenga habari nyingine..!!
Nikiangalia nyumba yangu, nashindwa kufanya maamuzi ya kuolewa. Najua mjuba akinizingua jioni akirudi hanikuti, ntakuwa nisharudi home sweet home π€£π€£
πππ Boss kuna tatizo???Ndjo maana hatutakiwi kuoa mwanamke anayeishi nje ya wazazi wake ajili ya hii. Mnaona sasa
Labda ujenzi wa vyooNitafute wataalamu wapi wakati mi mwenyewe mtaalamu, biashara ya nyumbani iliyotukuza ni kampuni la ujenz
Inawezekana kabisaaa..Kweli mkuu, ila kujenga nyumba ya M5 haiwezekani?
Iyo nyumba yako ina thamani ya Tsh ngapi?Ndogo sana..!! Hiyo ukinizingua nakutimua usiku na mbwa nawafungulia wakusindikize kukimbia
Mimi naulizia chumba kimoja na choo ndani toa gharama ya kiwanja.Inawezekana kabisaaa..
Sema si umeona hapo jamaa anataka mpaka paving blocks??
Kodi ya kupanga appartment unapata wapi???ni bola ninunue gari nipange apartment kwisha
Apeleke upuuzi wake fbwacha upumbavu mimi najenga Chumba kimoja na choo nije unfanyie consultant ofisini ya nini?
Halafu wewe jamaa ni liongo sana mara upo chuo mwalimu, mara kwenu mna kampuni mara Upigane na konda kisa 200, mara unasamamia biashara za demu wako mtoto wa kigogo mara demu wako malaya anajiuza puuu
Ukiwa muongo uwe na kumbukumbu
Kweli Kabisa,Kuna mada za mizaha, mada kama hizi hazitaki mizaha. Kuna waty wakipita humu wanabeba na kujifunza vitu tofauti. Chumba self kwa 70m?
πππ Nikitulia ntakupa document za valuationIyo nyumba yako ina thamani ya Tsh ngapi?
Sometimes JF kuna vituko sana mkuu.huu ni uwongo, tafuta 50M halafu waone wataalam wakuoneshe aina ya nyumba unayoweza jenga, sio unakuja kuropoka tu
Hujapata tu mtu wewe, hicho kipagale chako utakitupilia mbali uwaachie wapangaji.Ahsante, kujenga habari nyingine..!!
Nikiangalia nyumba yangu, nashindwa kufanya maamuzi ya kuolewa. Najua mjuba akinizingua jioni akirudi hanikuti, ntakuwa nisharudi home sweet home π€£π€£
ππππ Ila umenichekesha ulivyokiita kipagale nyumba yangu nyoko wewe..!!Hujapata tu mtu wewe, hicho kipagale chako utakitupilia mbali uwaachie wapangaji.
Ahahahahaππππ Ila umenichekesha ulivyokiita kipagale nyumba yangu nyoko wewe..!!
Poa!πππ Nikitulia ntakupa document za valuation
Una dharau sana ujue π€£π€£π€£Ahahahaha
Ahah hapana bwana.. naku challenge tu πUna dharau sana ujue π€£π€£π€£
Kumbe Shangazi wewe bado haujapigwa Pingu?Ahsante, kujenga habari nyingine..!!
Nikiangalia nyumba yangu, nashindwa kufanya maamuzi ya kuolewa. Najua mjuba akinizingua jioni akirudi hanikuti, ntakuwa nisharudi home sweet home π€£π€£