Hapa kila mtu na hamsini zakePole mkuu. Naamini mwanamke anayekupenda kwa dhati hawezi kukufanyia vitimbi. Mungu ametupa akili za kung'amua mambo. Hana mapenzi ya dhati na wewe huyo. Wakati wa uchumba nadhani ukuweza kumjua rangi yake halisi.
Aisee mm huwa nahisi ni upendo tu hivi kumbe naweza kuwa niko hivyo?Bila shaka wewe ni good guy. Ni wa wanaume ambao hutabirika maamuzi yao( mara nyingi huwa ni kusamehe fasta).
Pole sana ila usitegemee mkeo kubadilika, kwa nionavyo mimi huyo atabadilika yeye akiwa na shida ila kama shida iko upande wako sahau kuhusu kubadilika kwake mkuu.
Yakiwashinda mtengane ndgu yangu, uhai ni kitu muhimu sana.
Mke anampeleka Polisi, kwa mjumbe[emoji23]Kazi ipo yaani. Hizi ndoa hizi basi tu.
Ina maana wakati wa courtship mpaka uchumba hukuona dalili zo zote kuhusu hizi tabia zake mbaya? Au uliziona ukapuuzia ukidhani kuwa ukimtia ndani zitarekebishika? Yaani umepoteza kibarua mwaka jana tu na tayari moto unakuwakia? Hata ubinadamu japo kidogo hamna? Vipi ukiumwa uwe wa kugeuza kitandani?
Sorry but sidhani kama una mke hapo aisee; na ukiamua kubaki naye huko mbele ya safari jiandae kwa magumu zaidi ya haya - usiishiwe pesa wala kuugua. Na uzeeni ujipange hasa!
Pole sana!
Dah! Umenikumbusha mwaka jana ndugu yangu aliugua korona! Tulivyofika hospitali kumuona mke wake bila hata hofu aliropoka “ yaani nimemuomba mungu amchukue kuliko anavyoteseka”Piga chini chomoka hapo hakuna mapenzi hapo mtakuja kuuwana ndani bora lawama za muda mfupi kuliko fedha ya muda mrefu
Wanawake wanapenda mwanaume akiwa hivi..ila mwanaume unaleta ulokole na kucheka cheka..atakupanda kichwani na kukona boya.Ukiondoka tu kuna njemba itamfadhili na kula mzigo,usiondoke ila kuwa mkatili piga màkofi ya maana mpaka masikio yazibe,akikunyima penzi piga chukua mkanda wa suruali chapa sukumia nje funga mlango alale nje,usilete ulokole kwenye mapenzi,nasema usiondoke bali kuwa mkatili hadi akikuona moyo unaenda mbio kwa woga,tembeza kichapo,
Na ikifika hatua hiyo..piga chini haijalishi ndoa ya kanisani au ya bomani.Ukiona mwanamke ameanza kukuletea dharau na kukunyima tunda ujue kuna kijuba kinamkunja hivyo mapenzi yamehamia kule. Chunguza vizuri utakuja sema hapa
Kwa hiyo ukawaza kwamba hiyo ndiyo point ya maana kunitukana. Shauri basi.Una mambo ya Ujinga sana.
Unajiuliza , kwann yeye Hataki muachane??
Kwanza huyo ni mke, au Mlivutana tu mkatiana mimba, imeisha.
Yaan unaweza umtoroke ??? Mke wako na mtoto???
Kwa sababu anakudharau?
Mpe mbinu moja ya kivita nini afanye ,mi naona amechanganyikiwa huyu jamaa,mwanaume unasusa mji wakoUna mambo ya Ujinga sana.
Unajiuliza , kwann yeye Hataki muachane??
Kwanza huyo ni mke, au Mlivutana tu mkatiana mimba, imeisha.
Yaan unaweza umtoroke ??? Mke wako na mtoto???
Kwa sababu anakudharau?