KALIMIMBILI
JF-Expert Member
- Jan 26, 2021
- 205
- 362
Vipi ulisomea elimu ya siasa ukiwa nchi gani????Historia ulisomea ukiwa kuzimuni??? Nembo za taifa zinajulikana,rais siyo nembo ya taifa,basi na wachezaji wa timu ya taifa ni nembo ya taifa.Nadhani hujui maana ya nembo, na unatakiwa ujifunze kiswahili fasaha chenye misemo, nahau, mithali na hata taswira za fasihi. Mwenye kuwa makini na akili ni wewe usie tambua misemo ktk Lugha.
Ndo shida ya kukariri. Unajua maana ya neno Nembo? Au unakariri tu. acha elimu ya kukariri! Mtu anapotumia lugha ya maumbo au Ironic language inamaana gani? Tunaposema fagio la chuma unadhani ni chuma halisi? Hata maandiko yakitamka kuwa mmoja wa manabii ni simba wa Yuda unadhani ni simba kweli?Vipi ulisomea elimu ya siasa ukiwa nchi gani????Historia ulisomea ukiwa kuzimuni??? Nembo za taifa zinajulikana,rais siyo nembo ya taifa,basi na wachezaji wa timu ya taifa ni nembo ya taifa.
Kukariri au kuelewa uliye kariri ni wewe lakini nakupa ukweli,kwa vile chato system imetamalaki itakuwa ngumu kuelewa.Ndo shida ya kukariri. Unajua maana ya neno Nembo? Au unakariri tu. acha elimu ya kukariri! Mtu anapotumia lugha ya maumbo au Ironic language inamaana gani? Tunaposema fagio la chuma unadhani ni chuma halisi? Hata maandiko yakitamka kuwa mmoja wa manabii ni simba wa Yuda unadhani ni simba kweli?
Hapa sijaongelea ulilofundishwa darasani. Tafuta kamusi angalia maana ya neno nembo! Halina maana moja kama wewe ulivyokariri.
Ndo shida ya kukariri. Unajua maana ya neno Nembo? Au unakariri tu. acha elimu ya kukariri! Mtu anapotumia lugha ya maumbo au Ironic language inamaana gani? Tunaposema fagio la chuma unadhani ni chuma halisi? Hata maandiko yakitamka kuwa mmoja wa manabii ni simba wa Yuda unadhani ni simba kweli?Vipi ulisomea elimu ya siasa ukiwa nchi gani????Historia ulisomea ukiwa kuzimuni??? Nembo za taifa zinajulikana,rais siyo nembo ya taifa,basi na wachezaji wa timu ya taifa ni nembo ya taifa.
Wewe unayako Chato inahusiana na nini nilicho andika.? Ondoa chuki zako binafsi! Mie nawashangaa, watu badala ya kuangaika na maisha yako unakalia Chato, Chato, then what? Leo unapoiongelea Chato ni lipi utalofaidika nalo. Watu wa Chato wateendelea na maisha yao wakati wewe ukiumia moyoni.Kukariri au kuelewa uliye kariri ni wewe lakini nakupa ukweli,kwa vile chato system imetamalaki itakuwa ngumu kuelewa.
Siyo chuki bali uhalisia wa mawazo ya waramba miguu yanaharibu umoja na mshikamano wa taifa,mimi ninavojua nembo za Taifa ni:-1.Wimbo wa Taifa 2.Fedha za Taifa 3.Bendera ya Taifa na 4.Ngao ya Taifa.Ndo shida ya kukariri. Unajua maana ya neno Nembo? Au unakariri tu. acha elimu ya kukariri! Mtu anapotumia lugha ya maumbo au Ironic language inamaana gani? Tunaposema fagio la chuma unadhani ni chuma halisi? Hata maandiko yakitamka kuwa mmoja wa manabii ni simba wa Yuda unadhani ni simba kweli?
Hapa sijaongelea ulilofundishwa darasani. Tafuta kamusi angalia maana ya neno nembo! Halina maana moja kama wewe ulivyokariri.
Wewe unayako Chato inahusiana na nini nilicho andika.? Ondoa chuki zako binafsi!
Acha kukariri. Naijua hii nchi, najua siasa za hii nchi. Nilichoandika ni namna ya uwasilishaji. Hivi mbona unaakili ngumu kuelewa! Namna ya uandishi? Duuh! kweli binadamu tunatofautiana.Siyo chuki bali uhalisia wa mawazo ya waramba miguu yanaharibu umoja na mshikamano wa taifa,mimi ninavojua nembo za Taifa ni:-1.Wimbo wa Taifa 2.Fedha za Taifa 3.Bendera ya Taifa na 4.Ngao ya Taifa.
Siyo chuki bali uhalisia wa mawazo ya waramba miguu yanaharibu umoja na mshikamano wa taifa,mimi ninavojua nembo za Taifa ni:-1.Wimbo wa Taifa 2.Fedha za Taifa 3.Bendera ya Taifa na 4.Ngao ya Taifa.Ndo shida ya kukariri. Unajua maana ya neno Nembo? Au unakariri tu. acha elimu ya kukariri! Mtu anapotumia lugha ya maumbo au Ironic language inamaana gani? Tunaposema fagio la chuma unadhani ni chuma halisi? Hata maandiko yakitamka kuwa mmoja wa manabii ni simba wa Yuda unadhani ni simba kweli?
Hapa sijaongelea ulilofundishwa darasani. Tafuta kamusi angalia maana ya neno nembo! Halina maana moja kama wewe ulivyokariri.
Wewe unayako Chato inahusiana na nini nilicho andika.? Ondoa chuki zako binafsi!
Tanzania itaendelea kuwepo na nembo zake hazitabadilika.Acha kukariri. Naijua hii nchi, najua siasa za hii nchi. Nilichoandika ni namna ya uwasilishaji. Hivi mbona unaakili ngumu kuelewa! Namna ya uandishi? Duuh! kweli binadamu tunatofautiana.
Acha kukariri. Naijua hii nchi, najua siasa za hii nchi. Nilichoandika ni namna ya uwasilishaji. Hivi mbona unaakili ngumu kuelewa! Namna ya uandishi? Duuh! kweli binadamu tunatofautiana.Siyo chuki bali uhalisia wa mawazo ya waramba miguu yanaharibu umoja na mshikamano wa taifa,mimi ninavojua nembo za Taifa ni:-1.Wimbo wa Taifa 2.Fedha za Taifa 3.Bendera ya Taifa na 4.Ngao ya Taifa.
Pole na shule yako uliyokukaririsha. Hapa nilikuwa siongelei kama udhaniaavyo. Kwa ufupi nembo inamaana nyingi. Nembo yaweza kuwa kitu kinachowakilisha jambo, jamii, au kitu fulani.Siyo chuki bali uhalisia wa mawazo ya waramba miguu yanaharibu umoja na mshikamano wa taifa,mimi ninavojua nembo za Taifa ni:-1.Wimbo wa Taifa 2.Fedha za Taifa 3.Bendera ya Taifa na 4.Ngao ya Taifa.
Tanzania itaendelea kuwepo na nembo zake hazitabadilika.
tangu hajulikani alipo yule mungu wenu mekuwa na jazba kwelikweliAngalia like, usidhani waungwana uongea na kuropo kama wewe. Nawafahamu team TL, mpo kutukana na kuropoka. Mimi sitishwi na matusi wala maneno ya waropokaji. I stand in what I believe and trust. Matusi lugha za hovyo ni kwenu msio waungwana. Kutukana kwenu hakunitishi wala sibabaiki. Tukaneni then nambieni mmepata faida gani.
Heri yako msomi wangu lakini ujumbe nembo za Taifa zitaendelea kuwepo tu hata kama marais watafika 100 lakini nembo za taifa zitabaki pale pale Mungu bariki elimu yangu na Walimu wangu woote walionifundisha kuanzia shule ya Msingi na Kuendelea.Acha kukariri. Naijua hii nchi, najua siasa za hii nchi. Nilichoandika ni namna ya uwasilishaji. Hivi mbona unaakili ngumu kuelewa! Namna ya uandishi? Duuh! kweli binadamu tunatofautiana.
Pole na shule yako uliyokukaririsha. Hapa nilikuwa siongelei kama udhaniaavyo. Kwa ufupi nembo inamaana nyingi. Nembo yaweza kuwa kitu kinachowakilisha jambo, jamii, au kitu fulani.
Nembo yaweza kuwa utashi, alama, picha, au mtu anae wakilisha kundi au jamii fulani. Nembo ni jambo utalo liona na utapata utambulisho wa jamii au kitu fulani.
Kivyovyote Picha ya rais itaonesha utaifa wa nchi fulani. Acha kukariri sijataja Nembo za Taifa hapa. Nimeongelea Rais ni nembo nikiwa na maana ya Rais analitambulisha Taifa. Ukiongelea rais Magufuli umeiongelea Tanzania, watu wataelekeza macho yao Tanzania. jiulize nchi yoteyote ile ni kwanini picha ya Rais uwekwa kwenye Ofisi za Serikali na hata akitembelea nchi picha ya Rais uwekwa kila mahala.
We endelea na kukariri kwako. Nawasiwasi ya uelewa wako na elimu yako. Pole sana.
Hayo sijaongelea humu, na wala sina ushabiki kama udhaniavyo. Pia sijamuhusisha Mungu katika mada yangu. Nikutake ujue Mungu yupo na usimdhihaki!tangu hajulikani alipo yule mungu wenu mekuwa na jazba kwelikweli
Ndo shida ya kukariri! Baki na nembo zako mie nimepanga kufanya nilicho walisilisha hapa udhaifu wako wakutojua nini mada inaongelea hainihusu.Heri yako msomi wangu lakini ujumbe nembo za Taifa zitaendelea kuwepo tu hata kama marais watafika 100 lakini nembo za taifa zitabaki pale pale Mungu bariki elimu yangu na Walimu wangu woote walionifundisha kuanzia shule ya Msingi na Kuendelea.
sawa fungua kesi tukutane cross-examination. simdhihaki Mungu aliyeziumba Mbingu na Nchi ila namzungumzia mungu huyo ambaye unatakakumfungulia mwenzako kesiHayo sijaongelea humu, na wala sina ushabiki kama udhaniavyo. Pia sijamuhusisha Mungu katika mada yangu. Nikutake ujue Mungu yupo na usimdhihaki!
Heri yako msomi wangu lakini ujumbe nembo za Taifa zitaendelea kuwepo tu hata kama marais watafika 100 lakini nembo za taifa zitabaki pale pale Mungu bariki elimu yangu na Walimu wangu woote walionifundisha kuanzia shule ya Msingi na Kuendelea.Acha kukariri. Naijua hii nchi, najua siasa za hii nchi. Nilichoandika ni namna ya uwasilishaji. Hivi mbona unaakili ngumu kuelewa! Namna ya uandishi? Duuh! kweli binadamu tunatofautiana.
Pole na shule yako uliyokukaririsha. Hapa nilikuwa siongelei kama udhaniaavyo. Kwa ufupi nembo inamaana nyingi. Nembo yaweza kuwa kitu kinachowakilisha jambo, jamii, au kitu fulani.
Nembo yaweza kuwa utashi, alama, picha, au mtu anae wakilisha kundi au jamii fulani. Nembo ni jambo utalo liona na utapata utambulisho wa jamii au kitu fulani.
Kivyovyote Picha ya rais itaonesha utaifa wa nchi fulani. Acha kukariri sijataja Nembo za Taifa hapa. Nimeongelea Rais ni nembo nikiwa na maana ya Rais analitambulisha Taifa. Ukiongelea rais Magufuli umeiongelea Tanzania, watu wataelekeza macho yao Tanzania. jiulize nchi yoteyote ile ni kwanini picha ya Rais uwekwa kwenye Ofisi za Serikali na hata akitembelea nchi picha ya Rais uwekwa kila mahala.
We endelea na kukariri kwako. Nawasiwasi ya uelewa wako na elimu yako. Pole sana.
Good,for insulting me if all my teachers were good cramers and taught me to crame it is well enough,but my age and experience tells me that I am right for those bright people but for those stupid people it is negative.Ndo shida ya kukariri!
sawa fungua kesi tukutane cross-examination. simdhihaki Mungu aliyeziumba Mbingu na Nchi ila namzungumzia mungu huyo ambaye unatakakumfungulia mwenzako kesi
Hunitoi kwenye kile nilichokikusudia baki na nembo zako.Heri yako msomi wangu lakini ujumbe nembo za Taifa zitaendelea kuwepo tu hata kama marais watafika 100 lakini nembo za taifa zitabaki pale pale Mungu bariki elimu yangu na Walimu wangu woote walionifundisha kuanzia shule ya Msingi na Kuendelea.
Good,for insulting me if all my teachers were good cramers and taught me to crame it is well enough,but my age and experience tells me that I am right for those bright people but for those stupid people it is negative.
Pole sana.Ila Nina mashaka tatizo lako linasababishwa na njaa .Baada ya kusoma taarifa alizozitoa Lissu katika vyombo mbalimbali vya habari vya kimataifa kuhusu afya ya Rais na hatimae kueneza taarifa kuwa Rais karejea kwa muumba, ilinisababishia mshituko mkubwa na kuleta tatizo kiafya:
Kwanza nilipata mshituko wa moyo ikizingatiwa Rais ni kiongozi wa nchi. Ni nembo ya Taifa. Hivyo naipenda nchi yangu. Na mnampenda Rais wangu.
Pili, Kutokana na uwasilishaji wa hiyo taarifa ya Lissu na wenzake katika Twitter. Walitumia maneno ya kashifa kwa kiongozi wa nchi. Hii ilileta usumbufu kwangu kwa baadhi ya watu huku niliko kutumia maneno ya Lissu na wenzie kumsema vibaya Rais. Hii ilishusha hadhi ya nchi yangu na kusababisha dharau na kejeli.
Lissu alisababisha jamii za watu tofauti kumwamini hivyo kujenga sura hasi kwangu kama Mtanzania. Niliathirika kisaikolojia.
Hivyo Lissu na wenzake wanawajibika katika kunisababishia maumivu ya moyo na kisaikolojia.
Nipo tayari kuwasilisha ushahidi wa daktari. Na wataalamu wa saikolojia.
Pia na jiandaa kuishitaki Serikali kwanini haijachukua hatua dhidi ya Lissu na wenzake waliosababisha habari hizi za uongo kuenea wakati wakijua Rais ni nembo ya Taifa. Kuumwa ni swala la kawaida. Lakini kwanini waeneze uongo na hata habari za kifo.
Je, walikusudia kuleta sintofamu katika nchi? Eti Polisi wanaenda kumkamata fundi wa simu. Nadhani wanatania. Ingieni huko Twitter muone kama ni huyo fundi kaeneza hz taarifa pekee. Source anaachwa.
Hivyo nitashitaki Jeshi la polisi kwa uzembe wakutochukua hatua na kuacha taarifa kusambaa wao wametulia tu na kuzua taharuki kwa jamii.