Nafikiria kufungua kesi ya Madai dhidi ya Lissu na Wenzie

Nadhani hujui maana ya nembo, na unatakiwa ujifunze kiswahili fasaha chenye misemo, nahau, mithali na hata taswira za fasihi. Mwenye kuwa makini na akili ni wewe usie tambua misemo ktk Lugha.
Vipi ulisomea elimu ya siasa ukiwa nchi gani????Historia ulisomea ukiwa kuzimuni??? Nembo za taifa zinajulikana,rais siyo nembo ya taifa,basi na wachezaji wa timu ya taifa ni nembo ya taifa.
 
Vipi ulisomea elimu ya siasa ukiwa nchi gani????Historia ulisomea ukiwa kuzimuni??? Nembo za taifa zinajulikana,rais siyo nembo ya taifa,basi na wachezaji wa timu ya taifa ni nembo ya taifa.
Ndo shida ya kukariri. Unajua maana ya neno Nembo? Au unakariri tu. acha elimu ya kukariri! Mtu anapotumia lugha ya maumbo au Ironic language inamaana gani? Tunaposema fagio la chuma unadhani ni chuma halisi? Hata maandiko yakitamka kuwa mmoja wa manabii ni simba wa Yuda unadhani ni simba kweli?
Hapa sijaongelea ulilofundishwa darasani. Tafuta kamusi angalia maana ya neno nembo! Hakuna maana moja kama wewe ulivyokariri.
Na kila mwandishi ana namna ya kutumia lugha ya uwasilishaji au lugha ya picha kwa atavyoona inafaa. Ndo maana kuna wandishi anaweza akaongelea lugha maumbo au kutumia mafumbo wakati anacho maanisha sicho.
Unahitaji kufundishwa uandishi. Nadhani elimu yako bado haijakusaidia. usiwe na elimu ya kukaririshwa. Use your brain. Au muone Mpoto, akufundishe anapotumia mashairi yake ya mjomba na lugha za uficho.
 
Kukariri au kuelewa uliye kariri ni wewe lakini nakupa ukweli,kwa vile chato system imetamalaki itakuwa ngumu kuelewa.
 
Vipi ulisomea elimu ya siasa ukiwa nchi gani????Historia ulisomea ukiwa kuzimuni??? Nembo za taifa zinajulikana,rais siyo nembo ya taifa,basi na wachezaji wa timu ya taifa ni nembo ya taifa.
Ndo shida ya kukariri. Unajua maana ya neno Nembo? Au unakariri tu. acha elimu ya kukariri! Mtu anapotumia lugha ya maumbo au Ironic language inamaana gani? Tunaposema fagio la chuma unadhani ni chuma halisi? Hata maandiko yakitamka kuwa mmoja wa manabii ni simba wa Yuda unadhani ni simba kweli?
Hapa sijaongelea ulilofundishwa darasani. Tafuta kamusi angalia maana ya neno nembo! Halina maana moja kama wewe ulivyokariri.
Kukariri au kuelewa uliye kariri ni wewe lakini nakupa ukweli,kwa vile chato system imetamalaki itakuwa ngumu kuelewa.
Wewe unayako Chato inahusiana na nini nilicho andika.? Ondoa chuki zako binafsi! Mie nawashangaa, watu badala ya kuangaika na maisha yako unakalia Chato, Chato, then what? Leo unapoiongelea Chato ni lipi utalofaidika nalo. Watu wa Chato wateendelea na maisha yao wakati wewe ukiumia moyoni.
Mie nimeongelea kufungua kesi ya madai wewe unaanza taja Chato. Yaani ni mambo ya ajabu. Mimi kama mimi nina maamuzi yangu na sina ushabiki wa kijinga.
Na sifuati mikumbo. Na reason out! Na ninaishi kwa furaha kwa sababu sijajenga chuki moyoni. Unajua ninyi timu TL mnapenda sana lugha za ovyo sasa nawakaribisheni. Matusi nimeyasikia nikiwa bado tumboni kwa mama. Hakuna geni lolote! Na tusi haliwezi zuia mimi nisifanye nitakacho. Kwanza ukitukana mie nakudharau naona maelezi ulopata na waliokulea kulikuwa na mushikheri!
 
Siyo chuki bali uhalisia wa mawazo ya waramba miguu yanaharibu umoja na mshikamano wa taifa,mimi ninavojua nembo za Taifa ni:-1.Wimbo wa Taifa 2.Fedha za Taifa 3.Bendera ya Taifa na 4.Ngao ya Taifa.
 
Siyo chuki bali uhalisia wa mawazo ya waramba miguu yanaharibu umoja na mshikamano wa taifa,mimi ninavojua nembo za Taifa ni:-1.Wimbo wa Taifa 2.Fedha za Taifa 3.Bendera ya Taifa na 4.Ngao ya Taifa.
Acha kukariri. Naijua hii nchi, najua siasa za hii nchi. Nilichoandika ni namna ya uwasilishaji. Hivi mbona unaakili ngumu kuelewa! Namna ya uandishi? Duuh! kweli binadamu tunatofautiana.
 
wewe serikali yako imefungia mtandao wa twita wewe unatafuta nini huko.kama sio ulikua unataka kujua lisu atasema nini. sasa umejitekenya alafu unacheka mwenyewe.
 
Siyo chuki bali uhalisia wa mawazo ya waramba miguu yanaharibu umoja na mshikamano wa taifa,mimi ninavojua nembo za Taifa ni:-1.Wimbo wa Taifa 2.Fedha za Taifa 3.Bendera ya Taifa na 4.Ngao ya Taifa.
Acha kukariri. Naijua hii nchi, najua siasa za hii nchi. Nilichoandika ni namna ya uwasilishaji. Hivi mbona unaakili ngumu kuelewa! Namna ya uandishi? Duuh! kweli binadamu tunatofautiana.
Tanzania itaendelea kuwepo na nembo zake hazitabadilika.
 
Siyo chuki bali uhalisia wa mawazo ya waramba miguu yanaharibu umoja na mshikamano wa taifa,mimi ninavojua nembo za Taifa ni:-1.Wimbo wa Taifa 2.Fedha za Taifa 3.Bendera ya Taifa na 4.Ngao ya Taifa.
Acha kukariri. Naijua hii nchi, najua siasa za hii nchi. Nilichoandika ni namna ya uwasilishaji. Hivi mbona unaakili ngumu kuelewa! Namna ya uandishi? Duuh! kweli binadamu tunatofautiana.
Pole na shule yako uliyokukaririsha. Hapa nilikuwa siongelei kama udhaniaavyo. Kwa ufupi nembo inamaana nyingi. Nembo yaweza kuwa kitu kinachowakilisha jambo, jamii, au kitu fulani.
Nembo yaweza kuwa utashi, alama, picha, au mtu anae wakilisha kundi au jamii fulani. Nembo ni jambo utalo liona na utapata utambulisho wa jamii au kitu fulani.
Kivyovyote Picha ya rais itaonesha utaifa wa nchi fulani. Acha kukariri sijataja Nembo za Taifa hapa. Nimeongelea Rais ni nembo nikiwa na maana ya Rais analitambulisha Taifa. Ukiongelea rais Magufuli umeiongelea Tanzania, watu wataelekeza macho yao Tanzania. jiulize nchi yoteyote ile ni kwanini picha ya Rais uwekwa kwenye Ofisi za Serikali na hata akitembelea nchi picha ya Rais uwekwa kila mahala.
We endelea na kukariri kwako. Nawasiwasi ya uelewa wako na elimu yako. Pole sana.
 
tangu hajulikani alipo yule mungu wenu mekuwa na jazba kwelikweli
 
Heri yako msomi wangu lakini ujumbe nembo za Taifa zitaendelea kuwepo tu hata kama marais watafika 100 lakini nembo za taifa zitabaki pale pale Mungu bariki elimu yangu na Walimu wangu woote walionifundisha kuanzia shule ya Msingi na Kuendelea.
 
Heri yako msomi wangu lakini ujumbe nembo za Taifa zitaendelea kuwepo tu hata kama marais watafika 100 lakini nembo za taifa zitabaki pale pale Mungu bariki elimu yangu na Walimu wangu woote walionifundisha kuanzia shule ya Msingi na Kuendelea.
Ndo shida ya kukariri! Baki na nembo zako mie nimepanga kufanya nilicho walisilisha hapa udhaifu wako wakutojua nini mada inaongelea hainihusu.
 
Hayo sijaongelea humu, na wala sina ushabiki kama udhaniavyo. Pia sijamuhusisha Mungu katika mada yangu. Nikutake ujue Mungu yupo na usimdhihaki!
sawa fungua kesi tukutane cross-examination. simdhihaki Mungu aliyeziumba Mbingu na Nchi ila namzungumzia mungu huyo ambaye unatakakumfungulia mwenzako kesi
 
Heri yako msomi wangu lakini ujumbe nembo za Taifa zitaendelea kuwepo tu hata kama marais watafika 100 lakini nembo za taifa zitabaki pale pale Mungu bariki elimu yangu na Walimu wangu woote walionifundisha kuanzia shule ya Msingi na Kuendelea.
Ndo shida ya kukariri!
Good,for insulting me if all my teachers were good cramers and taught me to crame it is well enough,but my age and experience tells me that I am right for those bright people but for those stupid people it is negative.
 
Tuliza mshono hao wamekuzidi hadi dhambi 🥃🥃🥃🥃🥃🥃tafrija
 
sawa fungua kesi tukutane cross-examination. simdhihaki Mungu aliyeziumba Mbingu na Nchi ila namzungumzia mungu huyo ambaye unatakakumfungulia mwenzako kesi

Hunitoi kwenye kile nilichokikusudia baki na nembo zako.
 
Pole sana.Ila Nina mashaka tatizo lako linasababishwa na njaa .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…