Frank I Ritte
JF-Expert Member
- Apr 12, 2023
- 1,003
- 1,350
Kwa nini ununue kilo badala ya robo.Tupo town hapa lakini cha ajabu anaishi kama tupo Itilima, hajui kabisa kuishi kwa bajeti na wala haelekezeki.
Tupo wawili tu mimi na yeye lakini cha ajabu ile kilo ya nyama ya ng'ombe inaisha kwa kutwa moja!
Wakuu hii ni kawaida kweli? Tayari nimefikiria kuchukua maamuzi magumu
Ushauri wenu tafadhali.
Imo vizuri tu, inakosaje kwa mfanoTaarabu imo?
Upo sahii mkuu ila msaidie mawazoHawa vijana wa siku hizi uwezo wa kuchanganua mambo Bado ni kitendawili miaka 25 kijijini kwetu ni mtu mwenye kaya yake
Ohoo kwetu hapo! Ila nna muda mrefu sijarudi huko. Safi sanaNdiyo nilikuwa hapo Kwa siku mbili kikazi,maswala ya chama Cha mapinduzi
Nililala Kuna lodge inaitwa Norries ndo nililala hapo,kwa sasa nipo safarini kwenda Bariadi napitia sehemu inaitwa Mwandoya
Kumbuka kuwa, kilo moja ya nyama mbichi ikipikwa inapunguwa robo kilo, ukitiwa na inayochapwa na mizani za wauza nyama, ukija kutowa na machalati, unabaki na nusu kilo tu ya nyama inayolika, tena hiyo sijahesabia mifupa.Tupo town hapa lakini cha ajabu anaishi kama tupo Itilima, hajui kabisa kuishi kwa bajeti na wala haelekezeki.
Tupo wawili tu mimi na yeye lakini cha ajabu ile kilo ya nyama ya ng'ombe inaisha kwa kutwa moja!
Wakuu hii ni kawaida kweli? Tayari nimefikiria kuchukua maamuzi magumu
Ushauri wenu tafadhali.
Sio kweliβ¦..Hiyo ni typical symptom ya broken heart,mtu keshavunjika moyo mara nyingi kiasi kwamba kuachana kwake ni jambo la kugusa tu. Mtu kama huyu ndio afunge "pingu za maisha" kweli?
Unajua kikwetu hapo mwishoni umeandika tusi? π€£π€¦π»ββοΈNimecheka sana ππππ
Ila hutu tujuisi waga tutamu mnio π€
Nisameheni bure tu ππUnajua kikwetu hapo mwishoni umeandika tusi? π€£π€¦π»ββοΈ
Tupe mfano mwingine huo kama hautushawishikwangu mambo ya matumizi yanagusa hatima yangu ya bdae siyachukulii kiraisi kiongoz na huu ni mfano mmojawapo tu
Kumbe ni demu nilijua ni mkeTupo town hapa lakini cha ajabu anaishi kama tupo Itilima, hajui kabisa kuishi kwa bajeti na wala haelekezeki.
Tupo wawili tu mimi na yeye lakini cha ajabu ile kilo ya nyama ya ng'ombe inaisha kwa kutwa moja!
Wakuu hii ni kawaida kweli? Tayari nimefikiria kuchukua maamuzi magumu
Ushauri wenu tafadhali.
HUMAN NATURE!!!uongo,nature ipi inasema wanawake mmeumbwa kupokea!!!noooh
Mwanamke anayejielewa hawezi kua ombaomba kwa mwanaume,lazima atatafuta za kwakeHUMAN NATURE!!!
Tunafuata muongozo wa biblia!Mwanamke anayejielewa hawezi kua ombaomba kwa mwanaume,lazima atatafuta za kwake
π,utafata miongozo ya biblia mpaka lini!! ni muda wa kufata miongozo yakoTunafuata muongozo wa biblia!
Tupeni hela mara kwa mara muone kama tutawaomba.π