Blood of Jesus
JF-Expert Member
- Sep 19, 2016
- 4,486
- 8,098
Wapo wengi kwanza CCM waondoke, halafu tupate katiba mpya. Nafasi zote Serikalini ziombwe na wenyesifa wapewe, tuache hii mambo ya kuteuwana kwa upendeleo wa uchama/uchawa, jinsia,ukabila, utaifa,ukada,udini na ukanda.
Wewe umetumwa na wamiliki wa mabasi. Ni muhujumu uchumi wewe. Nashauri utafutwe na kushughulikiwa. Train ya mwendo kasi ni salama. Serikali ipo pale na inafuatilia kila kitu kwa ukaribu.Hii trend ni trend ya kasi na hivyo inahitaji tahadhari na umakini mkubwa lolote lisitokee ikiwa katika speed kali.
Binafsi sina imani na umakini wetu katika kuendesha hii treni na hizi zinazoitwa hujuma ndio kabisa zinanifanye nione usalama ni mdogo na ni swala la muda tu kabla la kutokea halijatokea unless treni hii iko operated kwa msaada wa waliotuuzia mpaka hapo baaadae.
Sina imani kabisa
Na Kadogosa katumwa na nani?Wewe umetumwa na wamiliki wa mabasi. Ni muhujumu uchumi wewe. Nashauri utafutwe nr kushughulikiwa. Train ya mwendo kasi ni salama. Serikali ipo pale na inafuatilia kila kitu kwa ukaribu.
Nafsi yako ikikataa sgr, bodaboda, bajaji, daladala au you tong inakuita. Ikifika huwezi kwepa gentleman 🐒Kuna vitu vinahitaji fact zaidi kuliko hisia, hii unayoleta hapa ni hisisa.
Sgr haina hata mwaka tayari kuna video kadhaa tik tok za madereva wake wakojitapa kuendeaha treni hiyo, nilitegemea muda huu ulikuwa muhimu kujifunza mawili matatu kuhusu chombo hicho ili walau kukitokea la kutokea wawe mahiri kuokaa jahazi, kumbuka sgr ni kitu kigeni sana kwa africa na bado hatuna madereva wenye uzoefu sana kulingana na muda iliyokaa,
Boeing 747 ina miaka karibo 60 angani na bado ni adimu sana kukuta tik tok videoz za marubani wake
✊✊Mkuu,
Tatizo unaleta hisia katika jambo linalotakiwa kwenda kwa facts.
1. Ni fact kwamba treni linabumabuma sana bila sababu kuelezewa vizuri.
2. Ni fact kwamba uongozi wa shirika la reli uneshindwa kudhibiti matatizo haya na uneishia kulalamikia hujuma amba,o hazijathibitishwa
Kwa facts hizi mbili, watu wana haki ya kuhofia kwamba inawezekana kuna siku hizi treni zinaweza hata kugongana na kuleta maafa makubwa.
Angekuwepo kuna watu wangesahaulikaMkuu,
Tatizo unaleta hisia katika jambo linalotakiwa kwenda kwa facts.
1. Ni fact kwamba treni linabumabuma sana bila sababu kuelezewa vizuri.
2. Ni fact kwamba uongozi wa shirika la reli uneshindwa kudhibiti matatizo haya na uneishia kulalamikia hujuma amba,o hazijathibitishwa
Kwa facts hizi mbili, watu wana haki ya kuhofia kwamba inawezekana kuna siku hizi treni zinaweza hata kugongana na kuleta maafa makubwa.
Hawawezi kujitokeza kwa mfumo uliopo, hawatapata nafasi, kwasababu nafasi ni kwa UWT, UVCC na Mlengo huo, siyo qualification.wajitokeze sasa. wakijificha tunahesabu "hawapo"
Hakuna mtu asiyejua hilo , hapa linazungumziwa treni linalobeba watu 900+ athari zake ni kubwa kuliko bajaji au boda boda,Nafsi yako ikikataa sgr, bodaboda, bajaji, daladala au you tong inakuita. Ikifika huwezi kwepa gentleman 🐒
kama ni hivyo unababaika nini sasa hali yakua vyote vyaweza kupata hitilafu na vinaongozwa na binadamu?Hakuna mtu asiyejua hilo , hapa linazungumziwa treni linalobeba watu 900+ athari zake ni kubwa kuliko bajaji au boda boda,
Kwan zimezama boti ngapi ziwa victoria, lakini mv bukoba hadi leo i akumbukwa miaka zaidi ya 20
Kuna uzembe kwenye kuna ajali kama ajali, zimetokea ajali ngapi za ndege? Kwa nini 737 max zote zilikuwa grounded kwa sababu ya ajali mbili tu?kama ni hivyo unababaika nini sasa hali yakua vyote vyaweza kupata hitilafu na vinaongozwa na binadamu?
Nafsi yenyewe unayo? Mimi naona umejaa mapepo tuHii trend ni trend ya kasi na hivyo inahitaji tahadhari na umakini mkubwa lolote lisitokee ikiwa katika speed kali.
Binafsi sina imani na umakini wetu katika kuendesha hii treni na hizi zinazoitwa hujuma ndio kabisa zinanifanye nione usalama ni mdogo na ni swala la muda tu kabla la kutokea halijatokea unless treni hii iko operated kwa msaada wa waliotuuzia mpaka hapo baaadae.
Sina imani kabisa
Sisi ndio tuna operate hiyo treni,ila wenyewe bado wapo wakiendelea kusimamia uendeshwaji mpk watakapojiridhisha kuwa tumekuwa wazoefu wa kutosha....Hii trend ni trend ya kasi na hivyo inahitaji tahadhari na umakini mkubwa lolote lisitokee ikiwa katika speed kali.
Binafsi sina imani na umakini wetu katika kuendesha hii treni na hizi zinazoitwa hujuma ndio kabisa zinanifanye nione usalama ni mdogo na ni swala la muda tu kabla la kutokea halijatokea unless treni hii iko operated kwa msaada wa waliotuuzia mpaka hapo baaadae.
Sina imani kabisa
Sasa kwenye reli umefikaje na treni hutaki kupandaUsitutoe kwenye reli.