Blood of Jesus
JF-Expert Member
- Sep 19, 2016
- 4,486
- 8,098
Wapo wengi kwanza CCM waondoke, halafu tupate katiba mpya. Nafasi zote Serikalini ziombwe na wenyesifa wapewe, tuache hii mambo ya kuteuwana kwa upendeleo wa uchama/uchawa, jinsia,ukabila, utaifa,ukada,udini na ukanda.
wajitokeze sasa. wakijificha tunahesabu "hawapo"
