Mawazo ya hovyo sana haya.... Kwa hiyo unaombea mabaya yatokee Mradi ufeli na watu wapate ajali kwenye treni???
Haya ni mawazo ya hovyo sana yenye roho ya ushetani ndani yake....
Nayakemea mawazo Yako machafu yashindwe na yalegee.... Roho chafu iwazayo mawazo hayo ikutoke mara Moja.... "In Jesus name"