Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 27,031
- 49,928
Mkuu naombeni msaadaHizi dhana ni za kipuuzi au ni kwa washabiki wa apple products sio kwa wanaoelewa haya mambo.
2021,apple ametoa simu mafungu 4,13 min,13,13 pro na 13 pro max.
Bei ni kuanzia $699 mpaka $1390
Mwaka huu mwanzoni imetoka SE3.
Hii ni kanuni ya kijanja ktk biashara,huwezi ambiwa kwamba tuna simu za watu wa vipato vyote ila hata simu ya laki 3 bado inaingiza pesa apple japo imenunuliwa na masikini kwa mfuko wake.
Mi naongezea tu iphone hazina support nzuri ya Emulators. Kama una simu ya Android ya kisasa kuanzia 2018 kupanda unaweza ukacheza games za Nintendo switch, gamecube, Wii, Playstation 2, psp, Sega dreamcast na console kibao za zamani. Iphone kuna emulators chache sana na hizo zilizobo ni uibie uibie ku install.Chief-Mkwawa njoo ugongelee msumari
Nimekutafuta mkuu ila nishasaidiwaMi naongezea tu iphone hazina support nzuri ya Emulators. Kama una simu ya Android ya kisasa kuanzia 2018 kupanda unaweza ukacheza games za Nintendo switch, gamecube, Wii, Playstation 2, psp, Sega dreamcast na console kibao za zamani. Iphone kuna emulators chache sana na hizo zilizobo ni uibie uibie ku install.
point taken and attached 💪💪Mi naongezea tu iphone hazina support nzuri ya Emulators. Kama una simu ya Android ya kisasa kuanzia 2018 kupanda unaweza ukacheza games za Nintendo switch, gamecube, Wii, Playstation 2, psp, Sega dreamcast na console kibao za zamani. Iphone kuna emulators chache sana na hizo zilizobo ni uibie uibie ku install.
Hizo games ndo Vinini mkuuMi naongezea tu iphone hazina support nzuri ya Emulators. Kama una simu ya Android ya kisasa kuanzia 2018 kupanda unaweza ukacheza games za Nintendo switch, gamecube, Wii, Playstation 2, psp, Sega dreamcast na console kibao za zamani. Iphone kuna emulators chache sana na hizo zilizobo ni uibie uibie ku install.
games wanazocheza watoto kwenye vibanda.Hizo games ndo Vinini mkuu
bado wanauziwa, sema anatumia supplier wengi Apple siku hizi.point taken and attached 💪💪
sasa siju wahenga watachezaje games waliozipenda enzi za ps1 😂😂
hivi kwenye swala zima la hardware iphone bado anaendelea kuuziwa display na samsung au mkataba uliisha
Nielekeze hiyobado vipo vingi sana mwanangu, nimechoka kutype, android kuna taa za notification huku unajua ni mesej ya fulani imeingia kwa kucheki rangi ya taa ya notifications.
IPHONE HAKUNA HII [emoji23][emoji23][emoji23]
Kwa maisha ya kibongo ni wachache sana wanaonunua simu kwa ajili ya kucheza gemu kubwa kubwaMi naongezea tu iphone hazina support nzuri ya Emulators. Kama una simu ya Android ya kisasa kuanzia 2018 kupanda unaweza ukacheza games za Nintendo switch, gamecube, Wii, Playstation 2, psp, Sega dreamcast na console kibao za zamani. Iphone kuna emulators chache sana na hizo zilizobo ni uibie uibie ku install.
Outsourcinh ndio business, unawapa tenda watu wanatengeneza na kwenye memory yuko mbioni kuongeza kampuni nyingine ya mchina.point taken and attached 💪💪
sasa siju wahenga watachezaje games waliozipenda enzi za ps1 😂😂
hivi kwenye swala zima la hardware iphone bado anaendelea kuuziwa display na samsung au mkataba uliisha
Hebu kaa kimya wewe 😂😂Outsourcinh ndio business, unawapa tenda watu wanatengeneza na kwenye memory yuko mbioni kuongeza kampuni nyingine ya mchina.
Kwenye business ni nzuri sana kujua target market yako.Hebu kaa kimya wewe 😂😂
Iphone hairusu hata emulators ndio kitu alichokuwa anasema chief mkwawa hapo 😂😂
Ni mpaka uibie ibie
Iphone ni kama wazanzibari wanaoweka sheria ya nchi nzima kusiuzwe chakula wala mtu kula hadharani kisa kuna mfungo bila kuzingatia kwamba si kila mtu anataka kufunga.Kwenye business ni nzuri sana kujua target market yako.
Ni 0.0001% ya mtu atatoa miliom 3 anunue simu ili aweke emulator kucheza game za ps2 🤣🤣🤣.
Wewe mwenyewe unatumia android lakini japo inasupport hata hujafanya hilo.
Hizi hoja zenu nyingine zinafurahisha sana.
Hata hapa ni watu wachache wenye simu za android wameweka hizp emulators.
Simu za iPhone hazijawahi kuwa cheap and obviously hajawahi kulenga soko la waweka emulators kucheza games za ps2 na nitendo 🤣🤣🤣
Ukianza kule hoja za namna hiyo basi nikikwambia nimemiss kucheza games za sega vipi android kuna emulator ya kusupport hilo? 🤣🤣Iphone ni kama wazanzibari wanaoweka sheria ya nchi nzima kusiuzwe chakula wala mtu kula hadharani kisa kuna mfungo bila kuzingatia kwamba si kila mtu anataka kufunga.
Mtu kama amemiss kujikumbushia kucheza games za zamani mwache ajipe raha kwenye emulator, shida ipo wapi?
Emulator za sega zipo nyingi tu kwa android na zina downloads za kutosha.Ukianza kule hoja za namna hiyo basi nikikwambia nimemiss kucheza games za sega vipi android kuna emulator ya kusupport hilo? 🤣🤣
Hizi ni hoja mfu
Vipi unazitumia? Narudia tena 0.0001% ndio wananunua simu ya thamani ya mls 3 kuweka emulator wacheze games otherwise consoles zipo kwa ajili hiyoEmulator za sega zipo nyingi tu kwa android na zina downloads za kutosha.
TukabetMult tasking
Unaandika sms huku unafanya hesabu kwa calculator huku unaangalia video huku unasoma PDF.....[emoji23][emoji23][emoji23]
I reserve my comment
No headphone jack
Hii ndio habari ya dunia kwa sasa sema ni vile haufahamu umezoea kutumia simu za kichovu
Simu zote za kampuni nguli kwenye Flagship zao wamemfuata Apple hawana hizo takata za mashimo
Wingi wa Apps
Tatizo huwa sio wingi wa App bali ni UBORA wa Apps
Appstore kuna apps zote MUHIMU na BORA Duniani
Playstore kuna app muhimu na mataka taka kibao
Multi user
Simu ni a very private thing, huu ushamba wa simu moja kutumia ukoo mzima ni USHAMBA..... not a big deal
Free internet
Unasifia UHALIFU hadharani kwamba ni sifa ya simu?
Huo ni udhaifu wa Simu na Os kwamba zina ruhusu watu kufanya uhalifu
No Memory card
Tunarudi pale pale, hii ni kutokana na kutumia low budget phones
Flagship zote za kibabe hazina hiyo takataka zimemfuata Apple
Bei ghali
Bado tupo pale pale, swala la bei ghali ni kutokana na level zako za kipato na simu unayotumia
Iphone kwa kiasi kikubwa wanatengeneza High-end phone ambazo zipo daraja moja na Flagship za manguli wa Android phones na bei wakati mwingine iphone anasubiri
Files
Huo ugumu unao usemea ni upi mkuu
Unaweza kutuma na kupokea file lolote na ukalifungua kwa Whatsap, Telegram, email, Messenger, Xender nk
No Radio Fm
Tupo pale pale
Flagship zote za kibabe zimemfuata Iphone hazina FM Radio
User interface
Haya mambo ya “kitoto kitoto” hayana nafasi kwenye simu classic
Always on
Watumiaji wa iphone muda wanaangalia kwenye saa ya mkononi sio unataka kuangalia saa unachomoa lisimu mfukoni kuangalia eti saa ngapi
Ikitokea ulazima wa kutumia simu si unakandamiza tu home button
Ringtones
Aliyekudanganya huwezi kuweka ringtones unazotaka ni nani?
Jailbrake
Ukiona unahangaika na jailbrake ujue iphone sio kaliba yako
Kanunue Tecno
Nimejibu kama mtani wa jadi [emoji23]
Mwambie ajipandisheMshkaji wangu ana iphone 6s
Nadiriki kusema sijashuhudia simu inayoisha chaji kama hii ya jamaa.
Nina jamaa yangu hapa akishusha controller zinaisha (Bluetooth za simu). Na simu zinazohandle game ni maarufu sana hata kwa ambao si wapenzi wa games.Kwa maisha ya kibongo ni wachache sana wanaonunua simu kwa ajili ya kucheza gemu kubwa kubwa
Wengi hucheza vigemu simple simple na wengi ni kina mama