NAFUMUA MSHONO: Simu za iPhone ni mdebwedo, wanaozitumia ni watu wa kufuata mkumbo bila reasoning. Simu za Android ndio mpango mzima!

NAFUMUA MSHONO: Simu za iPhone ni mdebwedo, wanaozitumia ni watu wa kufuata mkumbo bila reasoning. Simu za Android ndio mpango mzima!

Inanikera huwezi share na simu nyingine isiyo I phone
 
Hizi dhana ni za kipuuzi au ni kwa washabiki wa apple products sio kwa wanaoelewa haya mambo.

2021,apple ametoa simu mafungu 4,13 min,13,13 pro na 13 pro max.
Bei ni kuanzia $699 mpaka $1390
Mwaka huu mwanzoni imetoka SE3.

Hii ni kanuni ya kijanja ktk biashara,huwezi ambiwa kwamba tuna simu za watu wa vipato vyote ila hata simu ya laki 3 bado inaingiza pesa apple japo imenunuliwa na masikini kwa mfuko wake.
 
Tuhitimishe tu kwa kusema Android phones nyingi nikwajili ya sisi masikini.

Huwa najaribu kutafakari Apple wanatoa simu za hadhi ya juu pekeake hawana matolea ya bei ndogo kwajili yetu walalahoi ila bado inashindana na kina Samsung ambao wanatengeneza simu za hadhi ya juu na matakataka mengine kibao ambayo wengi ndo tunayatumia
Hizi dhana ni za kipuuzi au ni kwa washabiki wa apple products sio kwa wanaoelewa haya mambo.

2021,apple ametoa simu mafungu 4,13 min,13,13 pro na 13 pro max.
Bei ni kuanzia $699 mpaka $1390
Mwaka huu mwanzoni imetoka SE3.

Hii ni kanuni ya kijanja ktk biashara,huwezi ambiwa kwamba tuna simu za watu wa vipato vyote ila hata simu ya laki 3 bado inaingiza pesa apple japo imenunuliwa na masikini kwa mfuko wake.
 
Complex inferiority inaweza kukufanya ukapata sonona ya kujitakia[emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787]
 
Watu makini wanafanya backups zao kwenye computer au online na sio SD card ambayo ni rahisi kupotea na rahisi sana ku corrupt mazima
-Sio kila mtu ana computer
-Online unapewa gb 5 tu, simu ikijaa picha, videos, pdf, n.k za gb 100 hapo vp?
-kuhusu kupotea kwa memory card ni utunzaji wako, kama sio mtunzaji utapoteza hata simu,
 
Kuhusu redio, memory card na 3.5mm headphone jack mbona Android nyingi tu hazina?
NI ZOTE ?

Android hakuna manyanyaso, Simu flani ikitoa kitu flani unahamia nyingine....Ni rahisi lama kunywa maji.

Huko iphone leo hii wakiamua hata kutoa kamera ya mbele hakuna wa kuwabishia
 
Nilitumia enzi za iPhone 2 sina hamu too complicated.
Nikabugi badae ipad mpk leo sijui iko wapi,last nilimuona kijana wangu anacheza game nayo.
mpk kesho sigusi hizo simu.
 
Naomben msaada
Screenshot_20220401-150557.jpg
 
Back
Top Bottom