Kalaga Baho Nongwa
JF-Expert Member
- Sep 27, 2020
- 9,953
- 23,150
Mm mtaalam wa public healthHuuzi tena midabwada😁mbona umeandika kama MD?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mm mtaalam wa public healthHuuzi tena midabwada😁mbona umeandika kama MD?
Ukitaka kujua nn kinaongelewa hapa fungua yako. NGO ikiwa vizur huhitaji koneksheni mana tunafaham mziki wa kuendesha mradi na rationality ya result unayotaka. Good news ni kwamba mradi wako ukifikia lengo at least 75% ya tokeo. Utapata fund kokote utakapoenda hata iwe BOTWatu mnakatishana Sana tamaa mitandaoni ujuaji Mwingi Ila inshort Ngo unaweza Kufanikiwa vizuri tu Ila kwa hizi discourage za wabongo sio powah
Dah course Moja safi hongera mkuu,,,,ila mbona siku hizi sipati linen quality?zinafichwa wapi?Mm mtaalam wa public health
Nakutumia namba yanguSasa itakuaje
Una hakika mm mhusika wa hizo linen? 😁Dah course Moja safi hongera mkuu,,,,ila mbona siku hizi sipati linen quality?zinafichwa wapi?
Acha utoto wewe. Kuna NGOs za MFUKONI kibao na zinapiga mpunga mwingi tu kila mwaka. Wafadhili wako MAMILIONI, kazi yako wewe ni kujieleza tu unataka kufanya nini na kwa gharama gani au kulingana na gharama zilizopangwa na mfadhili husika.Ukitaka kujua nn kinaongelewa hapa fungua yako. NGO ikiwa vizur huhitaji koneksheni mana tunafaham mziki wa kuendesha mradi na rationality ya result unayotaka. Good news ni kwamba mradi wako ukifikia lengo at least 75% ya tokeo. Utapata fund kokote utakapoenda hata iwe BOT
😆😆😆Mi kumbukumbu zangu haziinidanganyagiUna hakika mm mhusika wa hizo linen? 😁
Nimefungia na dada albino ili kuwawezesha baada ya hapo tumekwama zaidi ya mwaka na dada haishia kuwa kibaraka wa mawazo ya watu na anafikiria kuniondoaUnatakiwa kulipia mi nakufundisha hatua zote Hadi platforms wanazotumia kuweka katiba na cheti cha iyo NGO Hadi wazungu unawaletaje Tanzania na kuja kuvolunteer kwenye taasisi Yako na kutoa pesa kukusaidia kwenye miradi yako
NGO yako imefanikiwa kwa kiasi gani mpk sasa?Watu mnakatishana Sana tamaa mitandaoni ujuaji Mwingi Ila inshort Ngo unaweza Kufanikiwa vizuri tu Ila kwa hizi discourage za wabongo sio powah
Mnakwama wapi? Huwezi kupewa tu funds pasipo kuomba kwa kuandika. Balozi za kigeni karibu zote hapa nchini zinatoa funds kwa NGOs kila mwaka, tembelea kwenye tovuti zao utapewa miongozoNimefungia na dada albino ili kuwawezesha baada ya hapo tumekwama zaidi ya mwaka na dada haishia kuwa kibaraka wa mawazo ya watu na anafikiria kuniondoa
Kweli kabisaHao wazungu ukiwaambia unataka kuanzisha NGO ya kuhamasisha ushoga utawapata wengi wa kujiunga nawe.
Wazungu hawatatulia mpaka wote muwe wanachama.
Nataka kufanya festival kubwa,una utaalamu na Hilo nikutafutie hiyo laki mkuu?Consultation & mentorship fee ni Tsh 100,000
Anhaaa kumbe nguo? Za mtumba au za aina Gani? Namba yangu si unayo?😆😆😆Mi kumbukumbu zangu haziinidanganyagi
Mna strategic plan?. Mnatumia organogram gan?. Hao waliotokea kwenye organogram wana uwezo ganNimefungia na dada albino ili kuwawezesha baada ya hapo tumekwama zaidi ya mwaka na dada haishia kuwa kibaraka wa mawazo ya watu na anafikiria kuniondoa