Hakuna sex hakuna kupeana mahitaji.Mpaka ndoa [emoji14].nayeye asiombe hela mpaka ndoa
nayeye asiombe hela mpaka ndoa
la muhimu mana kuna wengine Tuna hogo la jan'gombe[emoji23][emoji23]Awe na uume urefu wa inchi ngapi please.
Umeona eenhh?!!.Huyo mpaka umuumbe mwenyewe nani atakubali kutumia kabla hajatikisa
Wewe mwanamke itabidi ujengewe Sanamu pale Dodoma City center.We utakuwa na tatizo unaficha. Unataka kumuuzia mkaka wa watu mbuzi kwenye gunia, ajikute ndani ya ndoa na tatizo lako asikuache!! Watu walaghai kama ww hawafanikiwi!!
Hahahahahaha.....Wewe mwanamke itabidi ujengewe Sanamu pale Dodoma City center.
Sent from my Infinix X688C using JamiiForums mobile app
Asante
Hiyo Avatar ni picha yako kabisa??[emoji2957][emoji2957]Asante
NdiyoHiyo Avatar ni picha yako kabisa??[emoji2957][emoji2957]
Sent from my Infinix X688C using JamiiForums mobile app
Dah!!!, Aiseee wewe ni kifaa.Hongera kwa kuumbika vizuri.Ndiyo
Ww jioe tuHabari mimi ni msichana wa miaka 21 natafuta mchumba ambaye atakuwa tayari kuwa na mahusiano na mimi bila sex hadi ndoa.
Elimu: Chuo mwaka wa pili. Nachukua degree ya special education.
Dini: Muislamu .
Muonekano: Mwili wa wastani mweusi.
Situmii kilevi chochote.
SIFA ZA NIMTAKAE.
Awe muislamu, umri miaka 25 Hadi 30. Awe na kazi . Elimu kidato cha nne nakuendelea Ila ni vizuri zaidi akiwa amefika chuo.
Awe mwembamba, mrefu au wastani rangi yeyote. Mwenye sifa hizo anifate PM.
Mtumishi ktk ubora wakeHuyo mpaka umuumbe mwenyewe nani atakubali kutumia kabla hajatikisa